swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,663
- 19,906
sijawahi kuona like kwako kwasababu michango yako yote ni sawa malapa.Mashamba ndio muhimu zaidi
Hakuna kuangalia sura
swissme
sijawahi kuona like kwako kwasababu michango yako yote ni sawa malapa.Mashamba ndio muhimu zaidi
Hakuna kuangalia sura
watu wa kanda ya ziwa hawaguswi nasikia
Alafu eti tunaambiwa kapatikana mtu asiependa rushwa!!Mafisadi Mkuu wanajuana kwa viremba. Kumbuka issue ya akina Lugumi na Escrow. Huyu mama kuhusika kwake kupokea rushwa ya 1.6 billioni pesa za Escrow hakustahili hata kuendelea kuwemo Bungeni.
Mkuu kwa bongo kuwa na hivyo viwanja ni kawaida kabisa!kama mtu aliweza kubeba yale marumbesa ya Escrow itakuwa viwanja?au wewe mgeni bongo?Huu sasa upotishaji, muweke na ushahidi, huyo mama hana eneo lolote huko kigamboni, kama angekuwa nalo, nijuavyo toka ameacha uwaziri wangesha mnyanganya kitambo sana. Acheni propaganda mufilisi.wekeni ushahidi mezan, mtu mmoja kumiliki viwanja 1000??mnaona jambo jepesi eeh. ..!Watz hataree
Sijui kwa nini mnakuwa Na siasa za ubaguzi namna hii, siku mikoa ya kusini itakapotambua siasa zenu za kibaguzi ndio utakuwa mwisho wa Tanzania moja yenye Amani.Zama hizi ni kanda maarumu hawaguswi ni kuteuliwa tu! Wataguswa wale waTeule wa JK na wale wa kaskazini n kanda ya mashariki wale wa upande wa pili wa dini hawatakiwi kabisa!! Kila zama na wakati wake
Mama Anna ni mbunge wangu nimewahi kumuomba msaada wakati fulani wa ada ya semister baada ya kukosa mkopo wa chuo, alinijibu " kwa sasa nasomesha watoto wa Primary tu ndo uwezo nilio nao" nilipo mtaarifu kuwa basi nimuuzie shamba langu la urithi maana mmi ni Yatima alijibu "liko wapi hilo shamba nitakutafutie mteja" kumbe mteja alikuwa yeye! kwa thread hiyo hapo juu naungana na mtoa mada kuwa huyu mama anamiliki manyarubanja huko Muleba aliyoyapata kwa njia za kuwarubuni walala hoi.Ukifika kigamboni eneo la kisotha kuna eneo kuna viwanja zaidi ya 1000
wenyeji hapo wanasema ni viwanja vya Anna Tibaijuka
na ukifika huko Mapinga Bagamoyo nako kuna story kama hizo
swali nalojiuliza je na huyu nae kama ni kweli watamnyang'anya?
au hii operesheni sio kila mtu?
Uyo mwana CCM mwenzetuUkifika kigamboni eneo la kisotha kuna eneo kuna viwanja zaidi ya 1000
wenyeji hapo wanasema ni viwanja vya Anna Tibaijuka
na ukifika huko Mapinga Bagamoyo nako kuna story kama hizo
swali nalojiuliza je na huyu nae kama ni kweli watamnyang'anya?
au hii operesheni sio kila mtu?
We kwel mwana propaganda kama ulivyo jiita. By the way alikujibu vyema kabsa, make watanzania kwakupenda kitonga hatujambo, sasa unashamba kubwa bado unataka upewe ada, si ulime ujisomeshe, Acha kupenda miterezo!!!!Mama Anna ni mbunge wangu nimewahi kumuomba msaada wakati fulani wa ada ya semister baada ya kukosa mkopo wa chuo, alinijibu " kwa sasa nasomesha watoto wa Primary tu ndo uwezo nilio nao" nilipo mtaarifu kuwa basi nimuuzie shamba langu la urithi maana mmi ni Yatima alijibu "liko wapi hilo shamba nitakutafutie mteja" kumbe mteja alikuwa yeye! kwa thread hiyo hapo juu naungana na mtoa mada kuwa huyu mama anamiliki manyarubanja huko Muleba aliyoyapata kwa njia za kuwarubuni walala hoi.
Maneno kama haya wakiandika BAVICHA sishangai ila kwa mtu kama wewe kuonyesha ubaguzi hivi, utakufa kwa roho ya husda mzee.watu wa kanda ya ziwa hawaguswi nasikia
ni zao lipi tz linalo stawi kwa wiki mbili ambalo lingenisaidia kulipa ada ya semister ya kwanza.We kwel mwana propaganda kama ulivyo jiita. By the way alikujibu vyema kabsa, make watanzania kwakupenda kitonga hatujambo, sasa unashamba kubwa bado unataka upewe ada, si ulime ujisomeshe, Acha kupenda miterezo!!!!
Ukifika kigamboni eneo la kisotha kuna eneo kuna viwanja zaidi ya 1000
wenyeji hapo wanasema ni viwanja vya Anna Tibaijuka
na ukifika huko Mapinga Bagamoyo nako kuna story kama hizo
swali nalojiuliza je na huyu nae kama ni kweli watamnyang'anya?
au hii operesheni sio kila mtu?
Ana shamba kubwa hekari 3000 Muleba ukishakunja barabara ya kuelekea Chato, shamba limezinduliwa na Kikwete. Ajabu halijaendelezwa zaidi ya kuzungushiwa fensi na kujenga vijumba vya wafanyakazi. Huu uroho na umimi utamuua huyu mama.