Kuna wanaomzidi umri mbona hawajastaafu. Unadhani angelimteua angelikataaKastaafu,kwani lazima aendelee na siasa?khaa!
Sioni tatizo hata akibaki CCM maana hakumtendea mtu yeyote ubaya wakati akiwa ACT na hata alipopata bahati ya kuteuliwa kuwa RC wa Kilimanjaro
Miaka 62 nadhani ameomba kustaafu ili alee wajukuu, atabaki kuwa mwanachama wa kawaida maana haimpunguzii kitu. Makongoro Nyerere analingana na Mama Mghwira umri lakini jamaa ndo kalamba teuzi kwa mara ya Kwanza.
Amestaafu, kama nguvu zimeisha arudi ACT kufanya nini.
Teh,Mama amestaafu.....inatosha awaachie vijana.....mama hakutaka akienda Kilimanjaro aanze kumwamkia........
Anapelekwa kwingine huyo hawezi mtupa.Mwenye majibu ya maswali hayo anisaidie. Zito atamkubali? CCM anakaa akiwa amekatwa mkia vitawezekana kweli?
Wana visa na Mama maana kustaafu siyo kweli maana sidhani kama yeye ndiye ana umri mkubwa sana kuliko Makongoro... na wengine?
Haifahamiki, bali tulivyotangaziwa Anna kastaafu tukajua labda ni miaka 62 aliyonayo ndio mwisho wa wote lakini tunaweza kuwa hatuko sahihi maana mkongwe mwingine wa umri huo huo kala shavu!Kustaafu uRC ni miaka mingapi?