Anguko sasa ni dhahiri

Anguko sasa ni dhahiri

Jana nimekumbuka siku ya mkutano mkuu wa kukabidhiwa kiti pale dom, alipo mwambia jk kwamba ingekuwa mm angewapoteza wote waliokuwa wanamahangilia mamvi.
 
Chama ni logo tu ndugu yangu
Lakini wazi wazi kila mtu anaona hili bandiko lako linaegemea kwenye mtazamo wa chama kipi.
Lakini wewe binafsi umeshaji pambanua wewe ni mfuasi wa chama gani.
Na sikumbuki ni lini umeweka bandiko kwenye jukwaa la siasa lisilo egememea kwenye itikadi yoyote ya chama.
 
Jana nimekumbuka siku ya mkutano mkuu wa kukabidhiwa kiti pale dom, alipo mwambia jk kwamba ingekuwa mm angewapoteza wote waliokuwa wanamahangilia mamvi.
It is becoming real now
 
Lakini wazi wazi kila mtu anaona hili bandiko lako linaegemea kwenye mtazamo wa chama kipi.
Lakini wewe binafsi umeshaji pambanua wewe ni mfuasi wa chama gani.
Na sikumbuki ni lini umeweka bandiko kwenye jukwaa la siasa lisilo egememea kwenye itikadi yoyote ya chama.
Sahihi kabisa na muogope sana mtu anayekwambia hana chama lakini siku zote unamuona kwenye jukwaa la siasa akichangia mada
Mimi niliachana na ccm mwaka 1984 kwahiyo siwezi kuwa mnafique kwenye hilo japo mada hii ni pana sana zaidi ya mlengo wa kisiasa
 
No facts, hadithi za mihemko tu. Sijui inaongozwa na 'moyo' au 'ubongo'!!
 
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara.

Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake, huyu ni mwovu.

Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe.Dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha.Karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko.

Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa. Mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano.

Je, tunatengeneza ama tunabomoa?
Je, tunahubiri amani ama visasi?
Je, tunaeneza ustawi au anguko?
Je, Tunafundisha hekima au upuuzi?

- Hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi


Duh.....
 
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara.

Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake, huyu ni mwovu.

Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe.Dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha.Karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko.

Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa. Mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano.

Je, tunatengeneza ama tunabomoa?
Je, tunahubiri amani ama visasi?
Je, tunaeneza ustawi au anguko?
Je, Tunafundisha hekima au upuuzi?

- Hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Tunafikiri negativity tuu ,....tunalazimisha busara zifanywe na upande mmoja tu hii ni shidah?..
 
Back
Top Bottom