Anguko sasa ni dhahiri

Huyu jamaa nina wasiwasi kama ibada huwa anafanya,kama anafanya basi tuzidi kumuombea Mungu amvute karibu yake zaidi ampe hekima na busara japo kiduchu tu.

nadhan jitahidi kumuombea. kwa maneno aya makali sidhan km na wewe hukuombea
 

Huyu unayempigia debe knows exactly that he's a coincidental president.. very few of you fools voted for him. Therefore he's afraid of his own shadow living apprehensively of his fate because he knows that people loved his opponent.

Fungua macho wewe utoke kwenye usingizi, nchi inakokwenda si kuzuri......
 
Asante kwa ufafanuzi uliojaa elimu hivi wanafunzi wakifanya vibaya jamii inapeleka lawama kwa nani? Kwa wanafunzi? Walimu? Au shule?
Mwanafunzi kufanya vibaya kitaaluma lawama ni walimu. Tabia mbaya ya mwanafunzi chanzo chake hasa ni wazazi na jamii kwa ujumla. Na tabia mbaya ya mwanafunzi huchangia kufanya vibaya kitaaluma.
 
Vijana wa mishen town wanamlaumu sana JPM na kumuombea mabaya sababu kararua mirija.
 

Tzs 7,000/- @ day at work.
 
Jiandae kuitwa mchochezi maana siku hizi umekuwa
 
duh wewe uko nchi gani????? wapinzani wa wapi wametoa hotuba kt awamu hii au ndo ushabiki mandazi
Hotuba ya mwisho ya Seif uliisikilizaaaaa ? Au ndio ushabiki maandaz wenyewe. Lazima tuwe wakweli hata kama tu wapinzani.
 
kweli ngoma ya Upinzani imevuma sana kipindi cha JK sasa imepasuka pwaa....
 

Nchi inaendelea kudidimizwa kwa ndoto za kiranja, anaota kuleta viwanda wakati umeme hana. Anashindwa kuwa na maono ni nini kipaumbele kwenye zoezi hilo, hajiulizi kwa nini umeme wa nyumbani na barabarani si wa uhakika, itakuwaje apate umeme wa viwanda??
 
Huyu jamaa nina wasiwasi kama ibada huwa anafanya,kama anafanya basi tuzidi kumuombea Mungu amvute karibu yake zaidi ampe hekima na busara japo kiduchu tu.
Maisha yote ya Yesu yalikuwa kukemea maovu kwa vitendo. Luka 14:27, 28, aliwaambia makutano "27:Mtu yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kuja nyuma yangu, si mwanafunzi wangu; 28:Maana ni nani katika ninyi, kama akitaka kujenga mnara asiyeketi kwanza na kuhesabu gharama, kwamba anavyo vya kumalizia ".

Je, mimi na wewe misalaba yetu tunaibeba au tunawabebesha wengine!
 
G20 watakuwa wanadizaini mbinu za kumchochea mwenye nyumba kwa kumpa nishani za uongozi bora na wengine wahamasishe ukuta ili nchi isitawalike.

Kuna katuni nimeona kwenye gazeti moja la Kenya (naogopa kuiweka hapa nisiitwe mchochezi).
 
Your example is irrelevant.

Hakuna cha mtoto wala Baba hapo wote wazima wanatakiwa wakemee viashilia vya ubaguzi na utengano.
haa haa mkuu umeshindwa kunielewa huyu wa Jana huko kada ya juu zaidi ni sawa na Headmaster na mwalimu wa zamu though siwezikupinga ni watu wazima ila Head ni mkuu naye kateleza mbayaa tuige mazuri kutoka kwa nani sasa
 

Umesahau kuongezea msema ukweli ni kipenzi cha mungu. Mahubiri inategemea unamuhubiria nani kama ni mlokole hata kama ni point msikitini hawawezi kukuelewa kabisa.
Nyie hamuwezi lazimisha mtu msiyemkubari aseme mnachotaka kusikia. Maridhiano wakati kwa hiyari yenu mnaapa hamumtambui then itakuwa ngumu tofauti na SA.

Sasa Mshana na wenzako woga umewashika hamjui hata mnatetea nini wala nani, mabandiko yenu ya nyuma hamtaki hata kutazama mlitupia nini. Nyie ni watu mliopoteza sasa ombeni poo na hisani, mkikaza wenzenu ndio wanawakazia mara 10 mnabatizwa kwa moto sasa.
Badilisheni siasa zenu ziendane na wakati huu, nyie hamtaki kubadilika lakini mnalazimisha wengine wabadilike ingali nyie ndio loosers.
 
Mwanafunzi kufanya vibaya kitaaluma lawama ni walimu. Tabia mbaya ya mwanafunzi chanzo chake hasa ni wazazi na jamii kwa ujumla. Na tabia mbaya ya mwanafunzi huchangia kufanya vibaya kitaaluma.
But in general view conclusion ile shule ni mbaya na kama ni ya serikali mwalimu mkuu anabadilishwa.... .dhana ya anguko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…