Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 10,077
- 17,922
Hizi ngonjera ni vyema angeimbiwa Seif siku aliyokataa mkono wa Shein sababu ile ilikuwa kuutangazia umma kuwa ana chuki isiyo elezeka.
Cha kushangaza ni kuwa wale wale waliompongeza Seif kuwa siyo mnafiki ndiyo wanalialia baada ya hii count attack.
Mwisho wa siku dawa ya bishoo ni kuwa bishoo zaidi yake ni vyema Magufuli naye apongezwe kwa kutokuwa mnafiki kama alivyopongezwa Seif.
Wahenga walisema boss hanuniwi.
Cha kushangaza ni kuwa wale wale waliompongeza Seif kuwa siyo mnafiki ndiyo wanalialia baada ya hii count attack.
Mwisho wa siku dawa ya bishoo ni kuwa bishoo zaidi yake ni vyema Magufuli naye apongezwe kwa kutokuwa mnafiki kama alivyopongezwa Seif.
Wahenga walisema boss hanuniwi.
