Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,016
- Thread starter
- #21
Hapo umetoka nje ya mjadala Mkuu
Nadhani kichwa cha habari kingepaswa kuwa nani apongezwe sio alaumiwe. Kuna aliyesema anataka kuua upinzani kwa bunduki, mahakama, jeshi, tume na polisi, nadhani huyu ndio wa kupongezwa na hakuna wa kulaumiwa