Anguko la Upinzani nani alaumiwe?

Anguko la Upinzani nani alaumiwe?

Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?

Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema

Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao

Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni

Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?

Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?

Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
Nani kakudanganya kuwa kuna anguko LA upinzani? Au ni bangi ya Lumumba?
 
Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?

Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema

Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao

Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni

Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?

Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?

Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
391, member: 571458"]
Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?

Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema

Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao

Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni

Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?

Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?

Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
[/QUOTE]upinzani UPI ulioanguka we kibaraka!?...sasa hivi umepiga hatua upo mioyoni mwa watu!!kama ulikuwa hujui!
 
Mkuu umeandika Mambo mazito mno

Unajua wapinzani wengi hawapendi kuambiwa ukweli

Wakiambiwa ukweli wanaanza maneno ya kashfa ili mradi wakutukane kila tusi Ndio wanadhani watapata ushawishi

siasa ni sayansi kama lazima ujue udhaifu na Nguvu za unayepambana naye

Hata sasa Ccm isipopiga kampeni ya ubunge ina uhakika wa majimbo zaidi ya mia moja

Ila wapinzani wakiwa mtandaoni wanavyotishia watu, vitisho visivyo na uhalisia
Nyie wachumba ndiyo hamtaki kuambiwa ukweli mnakimbilia AK-47
 
Ndivyo unavyojidanganya kwamba upinzani umeanguka? Endeleeni kujidanganya na hizo binduki chache.
Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?

Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema

Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao

Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni

Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?

Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?

Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
 
Unafiki ni kitu kibaya kabisa kwani unaweza kukufanya adharaulike
 
Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?

Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema

Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao

Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni

Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?

Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?

Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
Anguko lipi??

😃😊😁😀😊 UJINGA NI MZIGO
 
Mm binafsi uwaga najiuliza kwann upinzani nchi za kiafrika unakuepo hata baada ya uchaguzi yaan unakuta wapinzani bado wanakiwasha hata baada ya uchaguzi kitu ambachoo ni tofauti na wenzetu wa magharibi xaxa najiuliza maswali haya , viongozi wanaoingia madarakani wanafanya xna makosa mpaka wapinzani wanashutuka?, wapinzani bado hawana uelewa wa neno upinzani ndo maana wao ni kupinga tu kila siku?!, na mengine mengi ila nikaja nkagundua kitu kimoja bado tupochini sana kwenye issue ya political issue we still unmatured ndo maana unakuta ccm na chadema wanakimbizana tu mahakamani na police , !!!so when we would be mature politically!???? Kwa nchi za kiafrika bado xnaa labda tufe tuzaliwe tena upya maana wakoloni walituachia akili ya ukoloni tunafikili kila kitu bila kulazimishana atuendi ndo maaana viongozi wengine wanaweka sheria pembeni
 
Mm binafsi uwaga najiuliza kwann upinzani nchi za kiafrika unakuepo hata baada ya uchaguzi yaan unakuta wapinzani bado wanakiwasha hata baada ya uchaguzi kitu ambachoo ni tofauti na wenzetu wa magharibi xaxa najiuliza maswali haya , viongozi wanaoingia madarakani wanafanya xna makosa mpaka wapinzani wanashutuka?, wapinzani bado hawana uelewa wa neno upinzani ndo maana wao ni kupinga tu kila siku?!, na mengine mengi ila nikaja nkagundua kitu kimoja bado tupochini sana kwenye issue ya political issue we still unmatured ndo maana unakuta ccm na chadema wanakimbizana tu mahakamani na police , !!!so when we would be mature politically!???? Kwa nchi za kiafrika bado xnaa labda tufe tuzaliwe tena upya maana wakoloni walituachia akili ya ukoloni tunafikili kila kitu bila kulazimishana atuendi ndo maaana viongozi wengine wanaweka sheria pembeni
 
Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?

Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema

Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao

Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni

Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?

Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?

Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
Ukinunua kitochi chako unajiamulia tu kuandika lolote na mods hapa wanaacha UPUUZI kama huu!
CCM ndiyo imesambaratika wala haina tena uwezo wa kuomba kura kwa wananchi
Shame shame shame CCM
 
Mm binafsi uwaga najiuliza kwann upinzani nchi za kiafrika unakuepo hata baada ya uchaguzi yaan unakuta wapinzani bado wanakiwasha hata baada ya uchaguzi kitu ambachoo ni tofauti na wenzetu wa magharibi xaxa najiuliza maswali haya , viongozi wanaoingia madarakani wanafanya xna makosa mpaka wapinzani wanashutuka?, wapinzani bado hawana uelewa wa neno upinzani ndo maana wao ni kupinga tu kila siku?!, na mengine mengi ila nikaja nkagundua kitu kimoja bado tupochini sana kwenye issue ya political issue we still unmatured ndo maana unakuta ccm na chadema wanakimbizana tu mahakamani na police , !!!so when we would be mature politically!???? Kwa nchi za kiafrika bado xnaa labda tufe tuzaliwe tena upya maana wakoloni walituachia akili ya ukoloni tunafikili kila kitu bila kulazimishana atuendi ndo maaana viongozi wengine wanaweka sheria pembeni

Ulaya upinzani na chama tawala wanna uwanja sawa wananchi ndo majaji
 
1573792711055.jpeg
 
Kweli Mkuu Upinzani wa Ulaya Kampeni ikiisha wanashirikiana kujenga Nchi ila Africa wao ni kupinga tu
Mm binafsi uwaga najiuliza kwann upinzani nchi za kiafrika unakuepo hata baada ya uchaguzi yaan unakuta wapinzani bado wanakiwasha hata baada ya uchaguzi kitu ambachoo ni tofauti na wenzetu wa magharibi xaxa najiuliza maswali haya , viongozi wanaoingia madarakani wanafanya xna makosa mpaka wapinzani wanashutuka?, wapinzani bado hawana uelewa wa neno upinzani ndo maana wao ni kupinga tu kila siku?!, na mengine mengi ila nikaja nkagundua kitu kimoja bado tupochini sana kwenye issue ya political issue we still unmatured ndo maana unakuta ccm na chadema wanakimbizana tu mahakamani na police , !!!so when we would be mature politically!???? Kwa nchi za kiafrika bado xnaa labda tufe tuzaliwe tena upya maana wakoloni walituachia akili ya ukoloni tunafikili kila kitu bila kulazimishana atuendi ndo maaana viongozi wengine wanaweka sheria pembeni
 
Back
Top Bottom