Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,016
- Thread starter
- #41
Mungu aendelee kumlaza Mahali Pema Peponi
!
!
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
!
!
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Siasa zilipigwa marufuku kwa wapinzani.
Huo ushawishi unataka waufanyie wapi?
Tuchukue uchaguzi mdogo kama case study kuweka mizani juu hojaza hizi.Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?
Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema
Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao
Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni
Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?
Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?
Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
Hakuna wanapokosea.Nitajie mbunge wa ccm anaekubalika jimboni kwake kuzidi kwa chadema au upinzani,mbeya vijijini mbunge wa ccm Njenza sijawahi sikia hata akiita mkutano wa hadhara,Mbunge wa Temeke Mheshimiwa Mtulia pia ni maji ya mtungi,Haonga pale vwawa hakubariki kabisa.Mwakyembe kule kyela hawezi kuita mkutano wa hadhara akasikiliza wananchi.Mbunge Janeth Mbene wa Ileje hana mvuto kwa raia.,mbunge wa kinondoni Mtolea hana mvuto kabisa hapo bado sijataja Mwita waitara.
Lakin Heche,sugu,Matiko,mdee,Mbowe,zitoo,Yule wa Momba na wengineo wakiitisha vikao hadi wabibi ni mwendo wa vidole viwili juu peoples' power.
Ccm ndio haina ushawishi waoga hadi kwa kivuli chao na bado kinawafuata.
Mtasubiri sana na mbinu zenu hizi za kigaidiJe kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?
Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema
Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao
Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni
Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?
Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?
Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
Mkuu si unajua tabia za kikahaba kujichekesha chekeshaUnaanzisha mwenyewe mada, unachangia mwenyewe mada. Basi umeeleweka
Alaumiwe aliyekufanya hivi, masikini wazazi wako wamepata hasara.Ilaumiwe laana ya Dk Slaa
Kamuulize meko aliyewatumaJe kila Sehemu watendaji hawakuonekana au baadhi ya maeneo tu
Wanaotumia msaada wa polisi kufanya siasa ndiyo wamepoteza mwelekeo kiasi mnaonekana kama bokoharam.Upo lkn umepoteza mwelekeo Mkuu
Tuangalie walianguka wapi
Kuna siku mlimkubali nyinyi?Hii inaweza kuwa pia sababu kubwa mno
Dr slaa alikuwa anakubalika sana
Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?
Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema
Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao
Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni
Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?
Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?
Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
MBOWEJe kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?
Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema
Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao
Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni
Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?
Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?
Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
Tatizo kubwa kwa wanasiasa wa upinzani ni kutawaliwa sana na ubinafsi na mihemko.Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?
Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema
Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao
Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni
Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?
Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?
Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
Mi Nadhani upinzani ulijichanganya sana waliposema Rais anaiga sera za upinzani
baadae wakabadilika tena wakaanza kupinga Maendeleo
Mi naona upinzani upo imara na kamwe hauwezi kufa. Kukiwa na fursa sawa za kisiasa kati ya CCM na Upinzani. Ni wazi CCM kitatoweka kama ilivyokuwa KANU ya Kenya.
Nitasoma watakavyo jibu wanasiasa
Tatizo kubwa kwa wanasiasa wa upinzani ni kutawaliwa sana na ubinafsi na mihemko.
Kwa bahati mbaya hadi sasa hawana 'common strategy' kwenye masuala ya kisiasa [walipaswa kuwa nayo baada tu wa uchaguzi wa 2015]. Kutokana na ubinafsi unaoambatana na uroho wa madaraka na kutoaminiana na kwa bahati mbaya zaidi hata wengi wetu tumejiingiza kwenye mtego huu hasa wale wanaoshabikia upinzani.
Kwao, kila anayefikiri tofauti nao basi huitwa majina mengi ya ajabu.Wengi wetu tumesahau kile kipindi ambacho suala la katiba mpya ambapo upinzani ulitaka kila jambo ambalo wanalitaka liwekwe humo kitu ambacho kwenye majadiliano kwa kawaida hakuna mambo kama hayo kwani linalofaa zaidi ni 'give and take' ili wote kwa ujumla wenu bila kujali tofauti za kisiasa mjione ni washindi na hakuna aliyeshindwa.
Upinzani, ulishinda hoja ya mgombea binafsi, tume huru ya uchaguzi, kupunguza madaraka ya raisi.
Kwangu mimi binafsi ningekuwa kiongozi wa upinzani, ningewashiwishi wenzangu wakubali hayo na mengine wayawache kwanza ili rasimu ipite, wananchi waridhie, bunge la katiba kupitisha rasimu iwe sheria rasmi. Hivyo tungeweza kuingia kwenye uchaguzi wa 2020 kufuata katiba mpya.
Mengine yote yangeweza kuboreshwa na kushughulikia baadaye. Lakini waheshimiwa wetu walikuwa wanajiangalia wao na vyama vyao kwa upeo wa mwisho wa uono wao wa kibinafsi na mwishowe tukapoteza nafasi nzuri ya kuanzia kurekebisha katiba yetu.
Upinzani ukitaka usitake 2020 itakuwa ni kisulisuli tu. Tutajidanganya kuwa CCM imeiba kura na wengine kujitoa tena kwenye uchaguzi. Mwisho wa siku inabidi wafahamu kuwa 'Ukisusa chakula wakati wa kula, basi wewe huna njaa' hivyo usilie na mtu wakati njaa itakapo kubana na chakula kimekwisha liwa na waliokuwa na jaa.
JPM, kwa sasa katiba siyo 'priority tean' cha muhimu kwake ni ujenzi wa nchi na sioni dalili yoyote ile kabla ya 2025 kwa sababu akili yake yote kwa sasa ni maendeleo ya uchumi. Ninadhani mfano mzuri kwake ni Uchina. Nchi hiyo ni ya kikomonisti lakini uchumi wake unaendeshwa kibepari . Maendeleo yaliyopatikana hadi sasa ni historia kwani imewashika koo mabepari wote duniani.
Kwa wananchi wa nchi hiyo, hakuna wanachokikosa kwani hivi sasa kuna mabilionea wengi zaidi kulika hata marekani. Hali ya maisha kwa wananchi ni nzuri kupita wakati wowote ule kwenye historia ya nchi hiyo kiasi kwamba ukiondoa tatizo la Hongkong, hatusikii wimbo wa demokrasia..
Rais Kikwete alijaribu kuweka legacy ya demokrasi lakini sisi tulitimba kila jaribio lake na tukamdhalilisha. Hivyo tusimlaumu JPM wala CCM bali tuwalaumu wale ambao tuliwachagua kwenda kutuwakilisha lakini wakaishia katikati ya safari kutokana na kutoangalia mbali.
Nani amekuambia upinzani umekufa?
Upo mioyoni mwa wananchi milioni 60 ujue wapo na upinzani ama la?
Think again dummy!
Shule ulikwenda kusoma ujinga??
Siasi ni maisha ya watu, amani ya nchi ni uchumi mzuri wa kisiasa umeelewa.
Gadhafi, Hitler , nk walifanya makubwa kiuchumi , lakini historia yao mbaya, walikandamiza na kuuwa watu, mazuri yote yalifutwa na maovu yao!!
Usishangilie uovu, auwaye kwa upanga atajibiwa kwa upanga.
Muogope Mungu ukitumwa mission zingine jiulize mara mbili.
Umenilewa????