Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Je kuanguka na kupoteza ushawishi kwa vyama vya upinzani nani alaumiwe?
Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema
Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao
Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni
Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?
Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?
Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli
Tukizungumzia Upinzani kwa miaka 15 mfululizo tunawazungumzia chadema
Hawa ndio walikuwa wanawavuruta wenzao
Lakini toka awamu ya tano iingie madarakani ni km wameishiwa pumzi kwa lugha ya mtaani tunasema wamekuwa kama mbwa mwenye mapengo hata wakibweka sauti inarudi tumboni
Je walikosea wapi mpaka kupoteza ushawishi? Je nini kifanyike waweze kuaminika tena?
Je wanaweza wakapotea kabisa 2020 na TLP kikaibuka kama chama kikuu cha upinzani?
Tuwashauri Wapinzani walijikwaa wapi? Ili waweze kwenda sawa na mchapa Kazi Rais Magufuli