Mamndenyi , Mwanasiasa wa kiingereza anayeitwa Harold Wilson alishawahi kusema, A week is a long time in politics.
CHADEMA walikuwa wanabebwa na siasa za uwongo, majungu na kilaghai ambazo zilikuwa zinatumia lift kuwafikia wananchi huku ukweli ukitumia ngazi.
Kwa sasa ukweli umefika kwa wananchi na matokeo ndiyo haya tunayoshuhudia.
Kuna viongozi wengine waridiriki mpaka kwenda London na kupiga picha mbele ya helikopta na kuudanganya umma kuwa wameenda kununua helikopta katika mwendelezo wao wa siasa za uwongo na ulaghai.
It's time to catch up with reality.
Hebu waulize, hiyo helikopta walinunua?.
Thread yake ilikuwa hii,