Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,539
Tanzania siku hizi kila mtu ni mchambuzi wa mambo ya siasa kwamba hata Mamndenyi naye amekuwa mchambuzi mahiri!? hahahahaaa heri umasikini wa pesa kuliko umasikini wa akili.
Ambako kuna watu waelewa kuliko KalengaWatanzania hatutaki chopa tunataka chama makini na viongozi makini uhuni uhuni wao na usanii wao wapeleke huko arusha na moshi shwaini kabisa chadema.
Hivi na wewe umeenda shule? Nakerwa na mijitu inayojivika upofu kama wewe. Unatuletea udini hapa? Sasa umepost nini? hopeless. Zito alisaidia chama kushinda chaguzi ndogo ngapi? Acha upofu wa fikra. Zito kasaidia Mkoa wa Kigoma kupata wabunge wangapi wa Chadema? Ondoa upuuzi wako hapa.
Tanzania siku hizi kila mtu ni mchambuzi wa mambo ya siasa kwamba hata Mamndenyi naye amekuwa mchambuzi mahiri!? hahahahaaa heri umasikini wa pesa kuliko umasikini wa akili.
Ungekuja na hoja ya kwanini nchi inaendelea kuteketeza mabilioni ya fedha kwa lidubwasha; IPTL ungeeleweka lakini siyo hii fitna. Heri ungehoji:
IPTL ni mdudu gani?
Ilifikaje nchini?
Akina nani wapo nyuma ya hii kampuni?
Ni nani aliyesaini mkataba tata wa IPTL serikalini?
Mazingira ya mkataba yana harufu ya rushwa?
Kwa nini serikali kupitia Tanesco imeendelea kulipa mabilioni yote hayo bila kutaka revise mkataba tata wa IPTL?
Kama serikali imelemewa na IPTL na sasa PAP wananchi wachukue hatua gani kwa umjula wao ili kunusuru kodi yao?
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.
Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.
CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.
Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung'ang'ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;
Nawasilisha.
aslamu alikum mwenyewe, mambo ya CHADEMA yaache yalivyo hujui lolote kuhusu CDM, wee nenda kale NGURUWE kama kawaida yako, na fuatilia chama chenu cha kiboko haramu na kialishababu.Assalamu Alaikum wana Bodi wote. Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani. CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii. Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini? Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma? Je, ni kwa ajili ya viongozi kungangania madarakani? Au walijisahau wapi? Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama; Nawasilisha.
aslamu alikum mwenyewe, mambo ya CHADEMA yaache yalivyo hujui lolote kuhusu CDM, wee nenda kale NGURUWE kama kawaida yako, na fuatilia chama chenu cha kiboko haramu na kialishababu.
kaka umenena hapo, huyu anayejiita Mamndenyi hajui lolote kuhusu siasa, cc tunajaribu kuzuia udini lkn yy anaendekeza. Unajuwa mara ya mwisho Mamndenyi alilazwa MIREMBE kwahyo nahic hajapona vizur na alitoroka Mirembe.Umemaliza?
Ni watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe ndo wanaojua kuwa Chadema inaanguka, subiri anguko lake hadi utazeeka utaiacha
wenye akili , busara na hekima kama cc huwa hatumalizi ila wapuuzi, washenzi, mliolaaniwa kama nyie mnaochochea udini ndo mnamaliza kila kitu kwa kukosa hoja za msingi na maarifa.Njoo na 'another rap' hii bado hujasomeka.
kaka umenena hapo, huyu anayejiita Mamndenyi hajui lolote kuhusu siasa, cc tunajaribu kuzuia udini lkn yy anaendekeza. Unajuwa mara ya mwisho Mamndenyi alilazwa MIREMBE kwahyo nahic hajapona vizur na alitoroka Mirembe.
Heee kwahiyo wakati mimi nazeeka wewe ndo unazaliwa au?
wenye akili , busara na hekima kama cc huwa hatumalizi ila wapuuzi, washenzi, mliolaaniwa kama nyie mnaochochea udini ndo mnamaliza kila kitu kwa kukosa hoja za msingi na maarifa.
Kuna mtu alishaniambia wanawake wa jf ni sura ngumu ajabu hawaliki hata. Bila shaka na wewe ni mbaya sura mbaya tena kichwa cha ng'ombe
mm naona opic yako imekaa kishabiki. ulipaswa uchambue kwanza chaguzi zimefanyikaje na mazingira yake kisha ndipo ulete maoni yako. hapo tungeweza kuchangia ila naona umekurupuka bila utafiti. no research no right to speak
ccm ni chama cha wahuni na washenzi wakubwa chadema hawezi kufa ccm ndo itakufaaaaa