Angola warusha Satellite ya kwanza

Angola warusha Satellite ya kwanza

Mi nilijua wametengeneza wao kumbe wameweka oda urus kwa tecnology ya urus kaz yao kurusha tu kwa maelekezo ya kirus
 
Mi nilijua wametengeneza wao kumbe wameweka oda urus kwa tecnology ya urus kaz yao kurusha tu kwa maelekezo ya kirus
Vipi bombardier na rada mmetengeneza nyie eti?

au vipi ile TV uliyonunua pale kariakoo umetengeneza wewe eti eeh? Mbona unasema ni ya kwako sasa?
 
We naona ushalewa gongo za Krismas..Kwa hiyo magari, ndege treni pikipiki na mashine zote zilizoko hapa bongo si zetu. Ni msaada kwa sababu hatutengenezi hivi vitu.
mkuu, ni sawa na wewe kuoa mke alafu unamwacha nyumbani kwangu mimi, mimi namlisha, mimi namnunulia hadi vyupi afu wewe unaishi kwako unaamini yule mke ni wa kwako. watakucheka sana wenzio. hapo unatakiwa kutumia akili ndogo tu. kwanini wasingerushia palepale Angola wakatengenezea na kurushia Russia?
 
Sisi,tumeuza sana,almasi,tanzanite,dhahabu.
umeuza wewe au wameuza wazungu? tangu lini nchi yetu iliuza madini?...dhahabu yenyewe wanasema hawajapata faida hadi sasa ndio maana wanauza kufidia mitambo yao tu. angola ilivyo ni kama ilivyokuwa libya, serikali inafaidika moja kwa moja na mafuta, sisi hapa tunafaidia moja kwa moja na nini(namaanisha kuanzia ajira hadi pato la kueleweka la mauzo).
 
angola wana mafuta wameanza kuuza kitambo,...ninyi mna mafuta?
Sisi tuna Amani, rasilimali Ardhi, Almasi, Dhahabu, Tanzanite, Mbuga za wanyama na vivutio vingi vya utalii, Bandari, Misitu, Rasilimali watu n.k n.k
 
Sisi tuna Amani, rasilimali Ardhi, Almasi, Dhahabu, Tanzanite, Mbuga za wanyama na vivutio vingi vya utalii, Bandari, Misitu, Rasilimali watu n.k n.k
hauijui amani. au tuseme tunayo amani lakini hatuna uhuru. nenda kamwambie tundu lisu au roma mkatoliki kuwa tz kuna amani kama atakuelewa. ninyi na mafisiemu ndio mna amani...wengine hata wakikohoa tu nissan zinawafuatilia. amani gani hiyo...amani ilikuwepo kiipindi cha nyerere, mwinyi, mkapa na jk...ila kipindi hiki kilichobaki ni kuwashitaki kwa Mungu tu yeye mwenyewe ashughulike na hao miungu watu.
 
hauijui amani. au tuseme tunayo amani lakini hatuna uhuru. nenda kamwambie tundu lisu au roma mkatoliki kuwa tz kuna amani kama atakuelewa. ninyi na mafisiemu ndio mna amani...wengine hata wakikohoa tu nissan zinawafuatilia. amani gani hiyo...amani ilikuwepo kiipindi cha nyerere, mwinyi, mkapa na jk...ila kipindi hiki kilichobaki ni kuwashitaki kwa Mungu tu yeye mwenyewe ashughulike na hao miungu watu.
Mkuu nimejibu swali lako kwa muktadha wa mada kuhusu Sisi na Angola..

Hayo uliyoainisha sasa ni hoja nyingine na inatuumiza sote wenye mapenzi mema na Mama Tanzania.

Kuniita Sisiemu ni kunikosea heshima, ila nimekusamehe.

Mapendo.
 
Mkuu nimejibu swali lako kwa muktadha wa mada kuhusu Sisi na Angola..

Hayo uliyoainisha sasa ni hoja nyingine na inatuumiza sote wenye mapenzi mema na Mama Tanzania.

Kuniita Sisiemu ni kunikosea heshima, ila nimekusamehe.

Mapendo.
my friend, hauijui angola. ilikua na vita miaka ileee...lakini sasaivi wana amani kuliko sisi, wametuzidi kila kitu, amani, furaha, utajiri, elimu everything. samahani kama nimekuita ccm...najua hilo ni tusi kwa wengine.
 
my friend, hauijui angola. ilikua na vita miaka ileee...lakini sasaivi wana amani kuliko sisi, wametuzidi kila kitu, amani, furaha, utajiri, elimu everything. samahani kama nimekuita ccm...najua hilo ni tusi kwa wengine.
Amigo,

Nina ujuvi mkubwa sana kuhusu Angola na watu wake. Mambo mengi umeainisha hayasadifu ukweli halisi wa maisha ya Waangola..

Anyway, tusibishanie ujuaji. Siyo lengo la hii mada.

Wewe kama Mtanzania, umeridhika kwamba tumezidiwa na Angola kimaendeleo na kwamba hatuna la kufanya kuikabili hii hali?

Je unayachukulia mafanikio ya mwenzako kama Motisha ya wewe kujibidiisha au unapendelea tu kuwa mtazamaji?
 
Amigo,

Nina ujuvi mkubwa sana kuhusu Angola na watu wake. Mambo mengi umeainisha hayasadifu ukweli halisi wa maisha ya Waangola..

Anyway, tusibishanie ujuaji. Siyo lengo la hii mada.

Wewe kama Mtanzania, umeridhika kwamba tumezidiwa na Angola kimaendeleo na kwamba hatuna la kufanya kuikabili hii hali?

Je unayachukulia mafanikio ya mwenzako kama Motisha ya wewe kujibidiisha au unapendelea tu kuwa mtazamaji?

Wacha tumalize kununua wabunge wa chama kile ndio tuwaze maendeleo kama Angola ila usifananishe Angola na vitu vya Kijinga.
 
Amigo,

Nina ujuvi mkubwa sana kuhusu Angola na watu wake. Mambo mengi umeainisha hayasadifu ukweli halisi wa maisha ya Waangola..

Anyway, tusibishanie ujuaji. Siyo lengo la hii mada.

Wewe kama Mtanzania, umeridhika kwamba tumezidiwa na Angola kimaendeleo na kwamba hatuna la kufanya kuikabili hii hali?

Je unayachukulia mafanikio ya mwenzako kama Motisha ya wewe kujibidiisha au unapendelea tu kuwa mtazamaji?
kumubidiisha nani sasa, kawaida mimi najibiidiisha muda wote kwaajili ya mke wangu na watoto na future yangu...kujibiidiisha kwa ajili ya hii serikali ni second priority mkuu. bashite na faru joni hawatakuacha salama,
 
Wacha tumalize kununua wabunge wa chama kile ndio tuwaze maendeleo kama Angola ila usifananishe Angola na vitu vya Kijinga.
vipi, suala la kutubu mmeshali fulfill? tafadhali, jambo dogo sana hilo, KATUBU.
 
Wacha tumalize kununua wabunge wa chama kile ndio tuwaze maendeleo kama Angola ila usifananishe Angola na vitu vya Kijinga.
ila Jestkilla ni malaya sana ineonekana....inaonekana muda wote unaangalia mapicha ya x....jukwaa la kule nilivyokuwapo enzi zangu, ulikuwa unaongoza kupost mipicha ya porn....mshipa wa aibu ulishakatika? itakuathiri sana kichwani kwako hiyo dada.
 
ila Jestkilla ni malaya sana ineonekana....inaonekana muda wote unaangalia mapicha ya x....jukwaa la kule nilivyokuwapo enzi zangu, ulikuwa unaongoza kupost mipicha ya porn....mshipa wa aibu ulishakatika? itakuathiri sana kichwani kwako hiyo dada.

Jiheshimu halafu kama mtoto wa kiume jifunze kuongea vitu kutokana na mahala ulipo sio kubwatuka sidhan umewaikua hata na dem mzuri kwa staili hii halafu bila aibu unaniita malaya nshafanya 3-some n baba ako na mama ako.???? STFU biaaaatch Aaassholeee.
 
Jiheshimu halafu kama mtoto wa kiume jifunze kuongea vitu kutokana na mahala ulipo sio kubwatuka sidhan umewaikua hata na dem mzuri kwa staili hii halafu bila aibu unaniita malaya nshafanya 3-some n baba ako na mama ako.???? STFU biaaaatch Aaassholeee.
kwani wewe ni mzuri? picha ya avatar hiyo si umekiopi tu hapo...si ajabu we ni mbaya kama dubu...anonymous names and pictures zinawaficha sana. hata hivyo, kama ulishawahi kudinywa hadi na dingi yangu basi we ni malaya sana. ok, kwanza hayo ni maisha yako. ila iyo kitu itakuwa imekuathiri sana kichwani, muda wote unawaza kutiwa tu kama wale unaowapost. badilika.
 
Back
Top Bottom