Elgibo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 1,067
- 1,518
Madini yakutosha bossangola wana mafuta wameanza kuuza kitambo,...ninyi mna mafuta?
Madini yakutosha bossangola wana mafuta wameanza kuuza kitambo,...ninyi mna mafuta?
Hivi nikikuuliza ujerumani wa na nini ila mbona wanashine mafuta sio sababu ya maendeleoangola wana mafuta wameanza kuuza kitambo,...ninyi mna mafuta?
Kuna gass pia na mbuga za wanyama na madiniHivi nikikuuliza ujerumani wa na nini ila mbona wanashine mafuta sio sababu ya maendeleo
angola wana mafuta wameanza kuuza kitambo,...ninyi mna mafuta?
Kuna upuuzi mwingine ukiusoma unatamani ujiondoe Jf, mtu anaifananisha Angola na Tanzania, unataka turushe setellite kisa Angola karusha? Simlaumu mleta mada kwa sababu umetupa taharifa, rakini kuna wachangiaji sijui kwanini hawajipimi kwamba siyo kila mada ni level yako ya uchangiaji? Vitu vingine msichangie kama mnaona vinawazidi uwezo wa kufikiri, kwa taharifa yenu hata nchi za Ulaya si zote zina setellite juu, sisi bado tuna mambo mengi yakufanya kuendelea kabla ya kuwaza setellite,
Kwa taharifa yako, Africa ni nchi chache zina huo mzigo Angani, hata Kenya yenyewe haina.nazo ni;
.Egypt
.South Africa
.Morocco
.Algeria
.Nigeria
.Mauritius
Acha mizuka soma tena uzi hadi mwishombona naona barafu, angola kuna barafu? acheni ushamba.
Imerushwa tokea nje ya ardhi ya Angolambona naona barafu, angola kuna barafu? acheni ushamba.
Faida yake kubwa ni nini kwa mwananchi wa chini.Nchi ya Angola mnam December 7, 2017 walirusha satellite yao ya kwanza iliyojengwa nchini Urusi
Hongerani Angola kwa kupiga hatua kubwa
![]()
![]()
![]()
Source
Angola's First Satellite to Be Launched From Baikonur Spaceport Dec. 7
Tatizo lako hujaisoma habarimbona naona barafu, angola kuna barafu? acheni ushamba.
Mkuu, unawaona wenzako wajinga, huku wewe mwenyewe unaonekana kilaza wa kiwango cha kibwetele. hujui hata matumizi ya 'R' na 'L'...sijui mitihani ya form 2 na 4 ulifauluje!? kurusha satellite kuna faida zake nyingi kwa jamii. kwa mfano, nchi kama Mauritius ina GDP ya 12.16 Billion dollars wakati TZ kiwango cha GDP NI 47.43 billion USD. lakini jiulize kwa nini sisi haturushi satellite wakati ka nchi kadogo kama Mauritius wanayo tayari? kwa kifupi, hakuna utashi wa kisiasa coz akili za viongozi wa kitanzania ni kama zako through y'r opinion above.Kuna upuuzi mwingine ukiusoma unatamani ujiondoe Jf, mtu anaifananisha Angola na Tanzania, unataka turushe setellite kisa Angola karusha? Simlaumu mleta mada kwa sababu umetupa taharifa, rakini kuna wachangiaji sijui kwanini hawajipimi kwamba siyo kila mada ni level yako ya uchangiaji? Vitu vingine msichangie kama mnaona vinawazidi uwezo wa kufikiri, kwa taharifa yenu hata nchi za Ulaya si zote zina setellite juu, sisi bado tuna mambo mengi yakufanya kuendelea kabla ya kuwaza setellite,
Kwa taharifa yako, Africa ni nchi chache zina huo mzigo Angani, hata Kenya yenyewe haina.nazo ni;
.Egypt
.South Africa
.Morocco
.Algeria
.Nigeria
.Mauritius
mbona naona barafu, angola kuna barafu? acheni ushamba.
angola wana mafuta wameanza kuuza kitambo,...ninyi mna mafuta?
Kuna upuuzi mwingine ukiusoma unatamani ujiondoe Jf, mtu anaifananisha Angola na Tanzania, unataka turushe setellite kisa Angola karusha? Simlaumu mleta mada kwa sababu umetupa taharifa, rakini kuna wachangiaji sijui kwanini hawajipimi kwamba siyo kila mada ni level yako ya uchangiaji? Vitu vingine msichangie kama mnaona vinawazidi uwezo wa kufikiri, kwa taharifa yenu hata nchi za Ulaya si zote zina setellite juu, sisi bado tuna mambo mengi yakufanya kuendelea kabla ya kuwaza setellite,
Kwa taharifa yako, Africa ni nchi chache zina huo mzigo Angani, hata Kenya yenyewe haina.nazo ni;
.Egypt
.South Africa
.Morocco
.Algeria
.Nigeria
.Mauritius
️
️
️
️
️
️
️
️
️
️
️
️Kweli kabisa tukimaliza kununua wapinzani tutarusha ya kwetuHongera zao hata sie kuna siku tutarusha yetu ya Mungu mengi
Mtuache kwanza sisi tuko kwenye project yetu ya kuwanunua wapinzaniNchi ya Angola mnam December 7, 2017 walirusha satellite yao ya kwanza iliyojengwa nchini Urusi
Hongerani Angola kwa kupiga hatua kubwa
![]()
![]()
![]()
Source
Angola's First Satellite to Be Launched From Baikonur Spaceport Dec. 7
Kwa hiyo ukiwapaoda Toyota wakutengenezee gari kisha wakakukabidhi baada ya matengenezo na wewe kuwalipa chao linakuwa la nani?kingelikuwa chao si wangetengenezea luanda, na wasingehitaji msaada wa warusi. hapo waliotengeneza ni warusi na sio waangola. tuache kufarijiana.