Angola warusha Satellite ya kwanza

Angola warusha Satellite ya kwanza

Kuna upuuzi mwingine ukiusoma unatamani ujiondoe Jf, mtu anaifananisha Angola na Tanzania, unataka turushe setellite kisa Angola karusha? Simlaumu mleta mada kwa sababu umetupa taharifa, rakini kuna wachangiaji sijui kwanini hawajipimi kwamba siyo kila mada ni level yako ya uchangiaji? Vitu vingine msichangie kama mnaona vinawazidi uwezo wa kufikiri, kwa taharifa yenu hata nchi za Ulaya si zote zina setellite juu, sisi bado tuna mambo mengi yakufanya kuendelea kabla ya kuwaza setellite,
Kwa taharifa yako, Africa ni nchi chache zina huo mzigo Angani, hata Kenya yenyewe haina.nazo ni;
.Egypt
.South Africa
.Morocco
.Algeria
.Nigeria
.Mauritius

Utawezaje kurusha satellite wakati hauna uhakikia maji na umeme. Sisi tupambane kwanza na kupunguza ujinga, maradhi.
 
Nchi ya Angola mnam December 7, 2017 walirusha satellite yao ya kwanza iliyojengwa nchini Urusi

Hongerani Angola kwa kupiga hatua kubwa

6578b7b404a413460ac65f5abea263f4.jpg


0bceae96b36ea259a8534383a73e98b1.jpg


9d7f777801e78a4d96135cb2900d96b3.jpg



Source

Angola's First Satellite to Be Launched From Baikonur Spaceport Dec. 7
Faida yake kubwa ni nini kwa mwananchi wa chini.
 
Kuna upuuzi mwingine ukiusoma unatamani ujiondoe Jf, mtu anaifananisha Angola na Tanzania, unataka turushe setellite kisa Angola karusha? Simlaumu mleta mada kwa sababu umetupa taharifa, rakini kuna wachangiaji sijui kwanini hawajipimi kwamba siyo kila mada ni level yako ya uchangiaji? Vitu vingine msichangie kama mnaona vinawazidi uwezo wa kufikiri, kwa taharifa yenu hata nchi za Ulaya si zote zina setellite juu, sisi bado tuna mambo mengi yakufanya kuendelea kabla ya kuwaza setellite,
Kwa taharifa yako, Africa ni nchi chache zina huo mzigo Angani, hata Kenya yenyewe haina.nazo ni;
.Egypt
.South Africa
.Morocco
.Algeria
.Nigeria
.Mauritius
Mkuu, unawaona wenzako wajinga, huku wewe mwenyewe unaonekana kilaza wa kiwango cha kibwetele. hujui hata matumizi ya 'R' na 'L'...sijui mitihani ya form 2 na 4 ulifauluje!? kurusha satellite kuna faida zake nyingi kwa jamii. kwa mfano, nchi kama Mauritius ina GDP ya 12.16 Billion dollars wakati TZ kiwango cha GDP NI 47.43 billion USD. lakini jiulize kwa nini sisi haturushi satellite wakati ka nchi kadogo kama Mauritius wanayo tayari? kwa kifupi, hakuna utashi wa kisiasa coz akili za viongozi wa kitanzania ni kama zako through y'r opinion above.
 
Kuna upuuzi mwingine ukiusoma unatamani ujiondoe Jf, mtu anaifananisha Angola na Tanzania, unataka turushe setellite kisa Angola karusha? Simlaumu mleta mada kwa sababu umetupa taharifa, rakini kuna wachangiaji sijui kwanini hawajipimi kwamba siyo kila mada ni level yako ya uchangiaji? Vitu vingine msichangie kama mnaona vinawazidi uwezo wa kufikiri, kwa taharifa yenu hata nchi za Ulaya si zote zina setellite juu, sisi bado tuna mambo mengi yakufanya kuendelea kabla ya kuwaza setellite,
Kwa taharifa yako, Africa ni nchi chache zina huo mzigo Angani, hata Kenya yenyewe haina.nazo ni;
.Egypt
.South Africa
.Morocco
.Algeria
.Nigeria
.Mauritius

TAHARIFA
TAARIFA

Na kweli sio level zako kajifunze kiswahili ndio tutajenga vyoo vya shule
 
"Iliyojengwa nchini urusi" nilipofika hapo nikaacha kuendelea kusoma.
 
Ngoja tuuwe upinzani kwanza tukimaliza huenda tukachek suala hilo maana ya mungu mengi,wasitupangie ya kufanya
 
Back
Top Bottom