Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,533
- 32,753
inakuaje setellite ya nchi ya angola ina bandiko la bendera ya urusi? inabidi angola wabandue hilo karatasi lenye bendera ya urusi
poor argument kwa hiyo kama jirani hana gari nawe ukawa na uwezo wa kununua gari utaacha kununua sababu jirani hana gari ?Kuna upuuzi mwingine ukiusoma unatamani ujiondoe Jf, mtu anaifananisha Angola na Tanzania, unataka turushe setellite kisa Angola karusha? Simlaumu mleta mada kwa sababu umetupa taharifa, rakini kuna wachangiaji sijui kwanini hawajipimi kwamba siyo kila mada ni level yako ya uchangiaji? Vitu vingine msichangie kama mnaona vinawazidi uwezo wa kufikiri, kwa taharifa yenu hata nchi za Ulaya si zote zina setellite juu, sisi bado tuna mambo mengi yakufanya kuendelea kabla ya kuwaza setellite,
Kwa taharifa yako, Africa ni nchi chache zina huo mzigo Angani, hata Kenya yenyewe haina.nazo ni;
.Egypt
.South Africa
.Morocco
.Algeria
.Nigeria
.Mauritius
Arabuni ipo barafu unashangaa angola?mbona naona barafu, angola kuna barafu? acheni ushamba.
Asilimia 4 ndio munayo ipata. Kila kiongozi mstaafu ana mgodi wake anachimbaTuna almasi ambayo tunachimba na kuuza kwa miaka zaidi ya 80 non stop bila interaption kubwa kama wafanyavyo Botswana. Tuna dhahabu na gas pia
ukisha nunua kitu umiliki unakua wako kwani wewe tv unayotumia si ametengeneza mchina lakini uliponunua wewe si kinakuwa chako au hiyo tv/gari uliyonayo sa hivi mwemye u,iliki ni wewe au aliyetengenezakingelikuwa chao si wangetengenezea luanda, na wasingehitaji msaada wa warusi. hapo waliotengeneza ni warusi na sio waangola. tuache kufarijiana.
hapo ni urusi wewe ndio mshambambona naona barafu, angola kuna barafu? acheni ushamba.
Si mmegawa dhahabu zenu bure?! Tena kwa mrahaba wa 3%?! Kwa miaka 100. Unalalamika nini sasa?!angola wana mafuta wameanza kuuza kitambo,...ninyi mna mafuta?
The issue is not launching a satellite, the issue is doing a bigger thing first for the country then for the entire world.Kuna upuuzi mwingine ukiusoma unatamani ujiondoe Jf, mtu anaifananisha Angola na Tanzania, unataka turushe setellite kisa Angola karusha? Simlaumu mleta mada kwa sababu umetupa taharifa, rakini kuna wachangiaji sijui kwanini hawajipimi kwamba siyo kila mada ni level yako ya uchangiaji? Vitu vingine msichangie kama mnaona vinawazidi uwezo wa kufikiri, kwa taharifa yenu hata nchi za Ulaya si zote zina setellite juu, sisi bado tuna mambo mengi yakufanya kuendelea kabla ya kuwaza setellite,
Kwa taharifa yako, Africa ni nchi chache zina huo mzigo Angani, hata Kenya yenyewe haina.nazo ni;
.Egypt
.South Africa
.Morocco
.Algeria
.Nigeria
.Mauritius
Mkuu Angola nao wameuza Almasi nyingi sana.Tuna almasi ambayo tunachimba na kuuza kwa miaka zaidi ya 80 non stop bila interaption kubwa kama wafanyavyo Botswana. Tuna dhahabu na gas pia
Hatari sanaAsilimia 4 ndio munayo ipata. Kila kiongozi mstaafu ana mgodi wake anachimba
Sisi tumeuza kidogo?Mkuu Angola nao wameuza Almasi nyingi sana.
Nilikuwa nakujulisha tu kama wao wanauza hiyo almasi miaka mingi tu kama sisi na hayo mafuta ambayo sisi hatuna(hatuuzi).Sisi tumeuza kidogo?
Satellite imetengenzwa na kampuni ya urusi. Imerushwa kwa rocket za urusi. Kutuo cha kucontrol hiyo satellite huko angola kimejengwa na urusi na wafanyakazi wamepewa mafunzo na urusi. Hapo bendera inayotakiwa kutolewa ni ya angola sio urusiinakuaje setellite ya nchi ya angola ina bandiko la bendera ya urusi? inabidi angola wabandue hilo karatasi lenye bendera ya urusi
Uwe unasoma kwanza kabla ya kuandika unazi imetengenezwa urusi utajua nani mshambambona naona barafu, angola kuna barafu? acheni ushamba.
Lazima tuokote kwanza satelite kwanza ndo tuirushe waioneHongera zao hata sie kuna siku tutarusha yetu ya Mungu mengi
Ndio je imeleta faida ganiTuna almasi ambayo tunachimba na kuuza kwa miaka zaidi ya 80 non stop bila interaption kubwa kama wafanyavyo Botswana. Tuna dhahabu na gas pia