Angola warusha Satellite ya kwanza

Angola warusha Satellite ya kwanza

Wamerusha kwa kutumia rocket ya mrusi,
ni kawaida sana,hata waisrael mara nyingi wanarusha satelite zao kwa kutumia rocket la mmarekani ama mhindi,
ili uweze kurusha kitu kwenda anga za juu mpaka uwe umemudu technology ya ballistic missile,yale maroket kimfumo yanafanya kazi kama ballistic missile,
so nchi ambazo mara nyingi hawana hiyo tech,au kwa kubana matumizi na kuokoa mda hutumia maroket ya nchi zenye tech hiyo kuweka satelite zao anga za juu
Wewe inawezekana ndiye mwenye majibu stahiki juu ya kupongezwa kwa Angola ktk hili, kwamba wanasayansi wa Angola wameiunda ila rocket za kirusi ndizo zilizokodishwa kuirusha, kama ni hivyo sawa.
 
Kwahiyo kufanikiwa kwa mtu kununua simu na yale ya mtu kuiunda simu yake ni sawa? Hoja iko hapo, kichwa cha habari kingetanabaisha hivyo.
Hujaelewa nilichokielezea. Kanywe supu ya pweza kwanza upate nguvu,urudi usome nilie m quote alianzia Ku quote wapi mpaka tukafikia hapo,ila ukikomaa kudandia gari kwa mbele hufiki mbali na hutoelewa.
 
Hujaelewa nilichokielezea. Kanywe supu ya pweza kwanza upate nguvu,urudi usome nilie m quote alianzia Ku quote wapi mpaka tukafikia hapo,ila ukikomaa kudandia gari kwa mbele hufiki mbali na hutoelewa.
Nadhani nawe hukunielewa, nilimaanisha kwamba, hatupingani na Angola kununua satellite si jambo kubwa, la hasha, tunachosema, kichwa cha habari na habari yake haviendani. "Angola warusha satellite ya kwanza" imekaa as if ni waangola ndiyo waliorusha hiyo satellite. Hapo tu, great thinker hapa alitakiwa ajue, hatujadili umiliki, bali ujuzi tu.
Hujaelewa nilichokielezea. Kanywe supu ya pweza kwanza upate nguvu,urudi usome nilie m quote alianzia Ku quote wapi mpaka tukafikia hapo,ila ukikomaa kudandia gari kwa mbele hufiki mbali na hutoelewa.
 
Sisi bado tuna maadui watatu mpaka.leo miaka 56 ya uhuru Ujinga Umaskini na nini sijui Unapigana na adui 56 years hujashinda tu.
Sasa hutler tungepigana nae miaka mingapi?? Maana yeye alikuwa na silaha
 
angola wanarusha satelite, huku kwetu bashite na bwana yule wanawaza kuwapiga mapanga vyama upinzani
 
Damn!!...........Kumbe imejengwa nchini Urusi!!.....Mimi nikafikiri wameijenga wao!!
 
Nadhani nawe hukunielewa, nilimaanisha kwamba, hatupingani na Angola kununua satellite si jambo kubwa, la hasha, tunachosema, kichwa cha habari na habari yake haviendani. "Angola warusha satellite ya kwanza" imekaa as if ni waangola ndiyo waliorusha hiyo satellite. Hapo tu, great thinker hapa alitakiwa ajue, hatujadili umiliki, bali ujuzi tu.
sasa si ni ya kwao? Kwahiyo unataka kusema warusi wamwrusha satellite ya Kwanza kwa nchi ya Angola au mnataka kusemaje? Mleta mada yuko sahihi haihitaji ugreat thinker hapo kuelewa.
 
sasa si ni ya kwao? Kwahiyo unataka kusema warusi wamwrusha satellite ya Kwanza kwa nchi ya Angola au mnataka kusemaje? Mleta mada yuko sahihi haihitaji ugreat thinker hapo kuelewa.
Angola yafanikiwa kununua satellite yake ya kwanza na kuirusha
 
Imejengwa Urusi kumbe. Haina noma na ss tunaweza kuijengea Korea
 
Back
Top Bottom