Angola warusha Satellite ya kwanza

Angola warusha Satellite ya kwanza

haha

hahahaha, kama walimkojoza si bora aliinjoy,,,kuliko wewe unayespread upate hela na sio watoto.

Watoto Njoo Dakar uone family bora mbwa wewe hapa siendelei tafuta uzi wako tukae sawa me nataka ule nanasi toka kwenye friji uinjoy coz siku iz wanaume wa Dar naskia mnapaka rang kucha mnatinda nyuzi sasa kuna Nanasi ntakulisha.
 
Watoto Njoo Dakar uone family bora mbwa wewe hapa siendelei tafuta uzi wako tukae sawa me nataka ule nanasi toka kwenye friji uinjoy coz siku iz wanaume wa Dar naskia mnapaka rang kucha mnatinda nyuzi sasa kuna Nanasi ntakulisha.
mimi si mwanaume wa dar wewe, mimi wa mkoani nakula ugari mwekundu na supu ya sangara, alafu nimetahiriwa bila ganzi. hivyo siku nikipata nafasi nitakutafuta nikudinye kidogo manake naona unawashwa. ila hela sikupi.
 
mimi si mwanaume wa dar wewe, mimi wa mkoani nakula ugari mwekundu na supu ya sangara, alafu nimetahiriwa bila ganzi. hivyo siku nikipata nafasi nitakutafuta nikudinye kidogo manake naona unawashwa. ila hela sikupi.

Kaangalie movie ya Girls Trip.
 
Kuna upuuzi mwingine ukiusoma unatamani ujiondoe Jf, mtu anaifananisha Angola na Tanzania, unataka turushe setellite kisa Angola karusha? Simlaumu mleta mada kwa sababu umetupa taharifa, rakini kuna wachangiaji sijui kwanini hawajipimi kwamba siyo kila mada ni level yako ya uchangiaji? Vitu vingine msichangie kama mnaona vinawazidi uwezo wa kufikiri, kwa taharifa yenu hata nchi za Ulaya si zote zina setellite juu, sisi bado tuna mambo mengi yakufanya kuendelea kabla ya kuwaza setellite,
Kwa taharifa yako, Africa ni nchi chache zina huo mzigo Angani, hata Kenya yenyewe haina.nazo ni;
.Egypt
.South Africa
.Morocco
.Algeria
.Nigeria
.Mauritius
-Ghana
- Na sasa Angola
 
Mind you...Angola was having a civil war for over 30 years. And we Tanzanian had have peace for over 56 years yet we have nothing to show except poverty and misery
Nisiyeegemea upande wowote. Sasa Tanzania tumenunua ndege wengine wanalalamika. Leo unajiuliza kwanini Angola wameweza kurusha Satelite halaf TZ tumeshindwa. Swali, Je, gharama za kuunda Satelite ni sawa na za ndege? kama siyo, je, Tz ingenunua Satelite si watu wangeandamana kabisa coz kipaumbele chetu kwa sasa si Satelite
 
Nchi ya Angola mnam December 7, 2017 walirusha satellite yao ya kwanza iliyojengwa nchini Urusi

Hongerani Angola kwa kupiga hatua kubwa

6578b7b404a413460ac65f5abea263f4.jpg


0bceae96b36ea259a8534383a73e98b1.jpg


9d7f777801e78a4d96135cb2900d96b3.jpg



Source

Angola's First Satellite to Be Launched From Baikonur Spaceport Dec. 7
Unashangaa nini Angola kumiliki Satelite na Tz kutomiliki.

Kipaumbele cha TZ si satelite kwa sasa.

Kama ndege tu zimeleta kelele, vip kuhusu Satelite.

Kila jambo na wakat wake
 
Mkuu, unawaona wenzako wajinga, huku wewe mwenyewe unaonekana kilaza wa kiwango cha kibwetele. hujui hata matumizi ya 'R' na 'L'...sijui mitihani ya form 2 na 4 ulifauluje!? kurusha satellite kuna faida zake nyingi kwa jamii. kwa mfano, nchi kama Mauritius ina GDP ya 12.16 Billion dollars wakati TZ kiwango cha GDP NI 47.43 billion USD. lakini jiulize kwa nini sisi haturushi satellite wakati ka nchi kadogo kama Mauritius wanayo tayari? kwa kifupi, hakuna utashi wa kisiasa coz akili za viongozi wa kitanzania ni kama zako through y'r opinion above.
Hao ni waliosoma HGL/HKL sasa wanahangaika na siasa na kuivurumisha Nchi wapendavyo. Taaluma zingine zote wameua na sasa wanakula bats tuuu, Satellite kwao ya nini?
 
Wamerusha kwa kutumia rocket ya mrusi,
ni kawaida sana,hata waisrael mara nyingi wanarusha satelite zao kwa kutumia rocket la mmarekani ama mhindi,
ili uweze kurusha kitu kwenda anga za juu mpaka uwe umemudu technology ya ballistic missile,yale maroket kimfumo yanafanya kazi kama ballistic missile,
so nchi ambazo mara nyingi hawana hiyo tech,au kwa kubana matumizi na kuokoa mda hutumia maroket ya nchi zenye tech hiyo kuweka satelite zao anga za juu
 
Serikali hata ya Marekani haitengenezi yenyewe hizi mitambo kuna makampuni kama Lockheed Martin ndio yanafanya nyie Tizedi hata kuunda kijiko cha ubwabwa Mara Paap Tanesco wamekata umeme
Sijakataa hilo, ila kama inshu ni kununua tu, ni jambo la vipaumbele vya taifa, kwakuwa vinauzwa tu, hata Tz inaweza kuinunua mwakani, wakitaka kiwe kipaumbele chao.

Umesema juu ya makampuni, hata Tz yetu, konyagi hutengenezwa na kampuni, ila ni ya Tanzania.

Ambacho labda hatujaielewa mada kwa mara ya kwanza, kulingana na kichwa chake cha habari, mi nilidhani wanasayansi wa kiangola ktk vyuo ama taasisi zao wamefanikisha hili swala, kama wale wa SUA walivyofanikisha wale panya wateguao mabomu.
 
Wamerusha kwa kutumia rocket ya mrusi,
ni kawaida sana,hata waisrael mara nyingi wanarusha satelite zao kwa kutumia rocket la mmarekani ama mhindi,
ili uweze kurusha kitu kwenda anga za juu mpaka uwe umemudu technology ya ballistic missile,yale maroket kimfumo yanafanya kazi kama ballistic missile,
so nchi ambazo mara nyingi hawana hiyo tech,au kwa kubana matumizi na kuokoa mda hutumia maroket ya nchi zenye tech hiyo kuweka satelite zao anga za juu
 
Wamerusha kwa kutumia rocket ya mrusi,
ni kawaida sana,hata waisrael mara nyingi wanarusha satelite zao kwa kutumia rocket la mmarekani ama mhindi,
ili uweze kurusha kitu kwenda anga za juu mpaka uwe umemudu technology ya ballistic missile,yale maroket kimfumo yanafanya kazi kama ballistic missile,
so nchi ambazo mara nyingi hawana hiyo tech,au kwa kubana matumizi na kuokoa mda hutumia maroket ya nchi zenye tech hiyo kuweka satelite zao anga za juu
 
Mind you...Angola was having a civil war for over 30 years. And we Tanzanian had have peace for over 56 years yet we have nothing to show except poverty and misery

siyo kipao mbele. hata Angola kuna masikini.
 
Haina kujifariji ila ni ukweli wqmepiga hatia kubwa sana. Hata kama hawajatengeneza kiwandani kwa nchi yao,basi na nyinyi katengenezeni yenu marekani. Wametengeneza warusi lakini imelipiwa na wa Angola, ownership ni serekali ya Angola. Msijitie majinuni hata kwa vitu vya maana. Mbona unakiita kikombe chako lakini ukikigeuza limeandikwa made in China. Simu yako lakini made in somewhere. Take chill pillz
Kwahiyo kufanikiwa kwa mtu kununua simu na yale ya mtu kuiunda simu yake ni sawa? Hoja iko hapo, kichwa cha habari kingetanabaisha hivyo.
 
Ukitaka kuona watu walivyo na wivu na husda na mtu mwenye mafanikio,leta mada kama hii kwa watanzania
Hapana, labda kwakuwa huzijui sera zilizowakuza watz... Ujamaa na Kujitegemea. Ndio maana miaka ya themanini, Nyumbu ilifanikiwa kutuletea gari letu, fahari ya nchi.
 
Back
Top Bottom