Anglophone Vs Francophone Africa: Harufu ya mpasuko wa kisiasa ndani ya Umoja wa Afrika (AU)

Mkuu,mimi ni mwafrika,haina haja ya mtu kueleza vipi wafrika weusi tulivyo,..

Ukweli uko wazi,...
Ukweli uko wazi, lakini pia ukweli si jambo rahisi kwa kila MTU kuufikia. Japo uko wazi ni kwa wawachache sana!
Nilishasema awali, Dunia imetamalaki VIINI MACHO kila kona. Usipojua hili hutaacha kujiona dhaifu sana, na yote hayo ni HESABU za watu.

Kila la heri.
 
Well written
 
Kama wewe hauna nafasi ya kujadili anglophone and francophone, usitupangie maisha. Kwani unatulipa pesa sisi tukiandika humu JF?
 
Shida ni kwamba hujataka kutafakari kujua Kusudio hasa la yule anayekuita wewe sub-human being, Ukapokea tu ukazibeba kama zilivyo na kuanza kuzieneza kwa wengine. Umenasa kwenye mitego yao, na wamekufanya ujisikie fahari na ukuu kujitusi.
Tena ni kujitusi kwa maneno mazito sana mkuu...
 
Tabia ya kuenenda vile wengine wafanyavyo pasipo kuwa na fikra sahihi si jambo jema hata kidogo mkuu.
 
Sikubaliani nayo,lakini sina la kufanya,kwasababu tutaendelea kuitwa tu hayo majina kutokana na upumbavu na ujinga wetu..
Usijiite mpumbavu wala mjinga kwa maana kwa kufanya hivyo ndio unakuwa unampa adui fursa ya kukushambulia psychologically
 
Usijiite mpumbavu wala mjinga kwa maana kwa kufanya hivyo ndio unakuwa unampa adui fursa ya kukushambulia psychologically
Acha adui ashambulie mkuu,haiwezekani kuwa Afrika ndio continent tajiri kwa rasilimali lakini ndio continent lenye watu masikini dunia nzima
 
Francophones wanamshikamano sana, ile 2012 JK alifanya umafia sana, haswa kupata kura za nchi za kusini MWA afrika, na nchi kama haswa Congo, Rwanda, Burundi, Mozambique na Angola.
Nchi za Anglophone hazina mshikamano imara na hiyo inatokana na kuwa nyingi ya hizo nchi marais wake wanafanya chaguzi na kubadilishana madaraka tofauti na nchi kama Cameroon, Congo Brazzaville, Chad nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…