Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,190
- 4,263
Kuna binadamu wanajua kuigiza kiasi kwamba kama hujamuomba MUNGU anapata mke ambae ni kituko
HakikaKuna binadamu wanajua kuigiza kiasi kwamba kama hujamuomba MUNGU anapata mke ambae ni kituko
notedMakanisani ndio sehemu kwenye mafisi wengi wenye ngozi za kondoo.
Watu wengi waliokosa wachumba hukimbilia kanisani kudhani kuwa mke bora au mke mwema hupatikana kanisani, lakini mke mwema hutoka kwa Mungu. Penye watu wawili au watatu Mungu yupo katikati yao.
Makanisani watu ndio sehemu yao ya kutembeza ngoma, huko watu wanapigana mijeledi kinoma.
Waimba kwaya ni wazinzi kinoma.
Vijana ni wazinzi, wapigaji mizinga na matapeli kupindukia. Ukitaka mwenzi mwema, usiende kumtafuta kanisani, muombe Mungu akupe, naye atakupa kutoka kwenye hazina yake.
Huenda mkakutana kwenye daladala, au sehemu yoyote ile, usikate tamaa, Mungu ana jibu kwa wakati wake.
Ombeni bila kukoma.
Wenye akili nyingi tumeelewaKiufupi....Kanisani/Msikitini ni sehemu za kumuomba mungu upate mke mwema....lakini sio sehemu ya kutafuta mke....NADHANI WACHACHE NDO WATANIELEWA NACHOMAANISHA
Kama ulivyo wa kwako
MmhMakanisani ndio sehemu kwenye mafisi wengi wenye ngozi za kondoo.
Watu wengi waliokosa wachumba hukimbilia kanisani kudhani kuwa mke bora au mke mwema hupatikana kanisani, lakini mke mwema hutoka kwa Mungu. Penye watu wawili au watatu Mungu yupo katikati yao.
Makanisani watu ndio sehemu yao ya kutembeza ngoma, huko watu wanapigana mijeledi kinoma.
Waimba kwaya ni wazinzi kinoma.
Vijana ni wazinzi, wapigaji mizinga na matapeli kupindukia. Ukitaka mwenzi mwema, usiende kumtafuta kanisani, muombe Mungu akupe, naye atakupa kutoka kwenye hazina yake.
Huenda mkakutana kwenye daladala, au sehemu yoyote ile, usikate tamaa, Mungu ana jibu kwa wakati wake.
Ombeni bila kukoma.
Habari ndio hiyo
Trend word 2018; watu wanapigana mijerediMakanisani ndio sehemu kwenye mafisi wengi wenye ngozi za kondoo.
Watu wengi waliokosa wachumba hukimbilia kanisani kudhani kuwa mke bora au mke mwema hupatikana kanisani, lakini mke mwema hutoka kwa Mungu. Penye watu wawili au watatu Mungu yupo katikati yao.
Makanisani watu ndio sehemu yao ya kutembeza ngoma, huko watu wanapigana mijeledi kinoma.
Waimba kwaya ni wazinzi kinoma.
Vijana ni wazinzi, wapigaji mizinga na matapeli kupindukia. Ukitaka mwenzi mwema, usiende kumtafuta kanisani, muombe Mungu akupe, naye atakupa kutoka kwenye hazina yake.
Huenda mkakutana kwenye daladala, au sehemu yoyote ile, usikate tamaa, Mungu ana jibu kwa wakati wake.
Ombeni bila kukoma.



🤣Trend word 2018; watu wanapigana mijeredi![]()
Mkuu Umemaliza... Hekima iliyoshibaMimi sikubaliani na hoja hii.
Kanisani ni sehemu mwafaka kwa mkristo kuongea na Mungu. Kuongea na Mungu ni pamoja na kuabudu, kusali, kutukuza, kusifu, kuomba n.k. Kama mke mwema anatoka kwa Mungu, inabidi mkristo aongee na Mungu ili Mungu ampe huyo mke mwema. Moja ya njia ya kuongea na Mungu ni kuomba. Hivyo mkristo anayehitaji mke humwomba Mungu. Kwa hiyo kanisani ni sehemu maalumu iliyokubalika kufanya maombi ingawaje mkristo anaweza kufanya maombi yake nje/mbali na kanisa.
Hakuna haja ya kuwa na shaka maadamu mke mweka hutoka kwa Mungu hakuna sababu ya kuhofu kupata kitu kibaya kutoka kwake. Kwa kuwa kanisani kuna wabaya na wema kwa jinsi ilivyo hakana haja ya kuhofu kuwa mwombaji atapata 'watembeza ngoma', 'wanaopigana mijeledi', vijana wazinzi, 'wapigaji mizinga', matapeli wa kupindukia n.k.
Lakini pia ni vizuri kujihoji. Je, kama mimi ninataka/ninapenda mke mwema, mimi ni mwema? Ni vizuri huyo mke mwema ninayemuomba nimtayarishie mazingira ya wema. Inawezekana sipato mke mwema kwa sababu mimi si mwema.
Mimi naona kuwa kuwa kama hao wanaokwenda hapo kanisani wana matatizo makubwa ni jambo jema. Kwa sababu Bwana wetu Yesu Kristo alisema njooni kwangu enye wote mnaoelemewa na mizigo. Mizigo yenyewe ndiyo hiyo, matatizo makubwa unayosema ambayo si ya kusimulia. Hapo ni kazi ya Mungu Roho Mtakatifu , anayashughulikia kupitia watumishi wake.
Onpoint ujakosea wapiga vinanda wanatia kweli dada zetu mimbaMakanisani ndio sehemu kwenye mafisi wengi wenye ngozi za kondoo.
Watu wengi waliokosa wachumba hukimbilia kanisani kudhani kuwa mke bora au mke mwema hupatikana kanisani, lakini mke mwema hutoka kwa Mungu. Penye watu wawili au watatu Mungu yupo katikati yao.
Makanisani watu ndio sehemu yao ya kutembeza ngoma, huko watu wanapigana mijeledi kinoma.
Waimba kwaya ni wazinzi kinoma.
Vijana ni wazinzi, wapigaji mizinga na matapeli kupindukia. Ukitaka mwenzi mwema, usiende kumtafuta kanisani, muombe Mungu akupe, naye atakupa kutoka kwenye hazina yake.
Huenda mkakutana kwenye daladala, au sehemu yoyote ile, usikate tamaa, Mungu ana jibu kwa wakati wake.
Ombeni bila kukoma.
Wabaya kichiziOn
Onpoint ujakosea wapiga vinanda wanatia kweli dada zetu mimba
Haha hahah hahahTrend word 2018; watu wanapigana mijeredi![]()