Angalizo: Usitafute mchumba kanisani

Angalizo: Usitafute mchumba kanisani

Mbona Isaya aliambiwa na Mungu akaoe mwanamke mzinzi?
Katika Mungu kuna siri nzito sana.
Mjomba wangu alioa mwanamke barmaid.. huwezi amini alitulia tuli na baadae akaws bonge na mtumishi akisimama kuhubiri lazima utoke mbele ukatubu.
Siliza Bujibuji Simba Nyamaume

1. Kuna wanawake malaya kutokana na
Kukosa imani na wanaume wote
baada ya kutendwa na aliyewaamini

2. Wapo malaya kwa kuzidiwa na taabu za dunia.

Note; Mwansume ukiwa smart kichwani unaweza kumtuliza mwanamke na kusuka ubongo wake kwa upya na akawa mke su kiumbe bora kabisa.

Nina uzoefu mdogo katika hili
Usijidanganye kumbadilisha mtu tabia, mtu anabadilika tabia yeye mwenyewe kutokana na msukumo wa ndani ya moyo wake
 
imeisha hiyo!
Mke mwema anatoka kwa Bwana~Bible.
Tena haisemi mchumba! Ni mke.
 
Mkuu nakubaliana na wewe lakini naomba nikusahihishe kidogo, hapa duniani hakuna mwanamke mwema hata mmoja, kwa kifupi hakuna mtu mwema hata mmoja na hili alilisema YESU mwenyewe.... Ukimwomba MUNGU utapata mke mwenye "busara" na siyo mke mwema. Hata kwenye Biblia imeandikwa; "mke mwenye busara atoka kwa BWANA" Mithali 19:14
Inshallah
 
Back
Top Bottom