Angalizo...tunapochagua...

Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.(HILI NDIO TATIZO LANGU)

Hii kitu bado tu marytina haijatafutiwa suluhisho bana?
 
ngoja atufafanulie vizuri hiyo good looking,
hebu kuja hapa Pauline, elezea sisi hii maneno vizuri?
we realy think differently ndio maana hamna atakayekosa perfect match hata uwe wa dizaini gani.

ila huyu dada nadhani ni kutoka TANGA.
 
ukisoma kiundani sana utaona kwamba sisi tunaitwa waharibifu wa DNA kwenye hii sredi. think! wiselady think!

sina amani ujue,,afu huyu fainesti na afro anamtishia nani?ina maana mabad luking bado tuko nyuma ya wenzetu kny evolution ama?
 
Ha ha ha ha siwataki radhi kama ni badluking mtajiju sie gudluking kwa sana tu naona mwenzenu mwenye hasira kama nyie kakimbia Bacha

najua una jeuri kisa gudlukin,,hivi umekaona kafainesti na afro hap juu?
 
Ha ha ha ha siwataki radhi kama ni badluking mtajiju sie gudluking kwa sana tu naona mwenzenu mwenye hasira kama nyie kakimbia Bacha

Nipo nakuangalia unavyombwelambwela tu,
njoo uone good looking ya kiume huku!,
acha hizo za kuchakachua!!!
 
mie sio mtaalam wala msomi,naombeni mtupe darasa kwa manufaa ya wote wenzangu kama mie,epecially hapo uliposema genetics zinaweza zikajump generations,nifafanulie plz......
kwa uelewa wangu wa kungalia yanayojiri ulimwenguni,wataalamu wengi wameanza kulink obesity na genetics ingawa haijawa proved but its my understanding studies bado zinaendelea...

Kwanini familia moja wengi wanakuwa obesity ? (hapa kuna tofauti watu wenye maumbo makubwa giants na watu wenye unene uzembe obesity) unakuta familia moja wote wanakuwa na maunene ya kujitakia hii sio genetically lakini ni habits.., bad feeding habits ambazo wanakuwa nazo watoto hadi wazazi., au unakuta watu wanakuwa unahappy wanatake refuge kwenye chakula..,

Gentics kujump generations thats normal..., hujaona watu wanafana na mababu zao na sio wazazi wao.., au wanafanana na wajomba zao...

Pia mzazi anaweza kuwa very handsome lakini yeye ni kama photocopy iliyochakaa ya mzazi wake, yaani amechukua all the bad qualities.

All in all Kuhusu wanawake... Binafsi I think hakuna Mwanamke mbaya... I Challenge anyone alete hapa picha ya mwanamke mbaya mimi tamuonesha uzuri wake....

Kuhusu Men I dont know its up to women to judge us.., What is handsome..., masculine or girlish looks ?, or Cuteness...? The jury is still out
 
mie sijui mambo ya nasaba,nilidrop out shule baada ya kunishinda,nipe darasa WOS...
labda hicho kigezo cha goodlooking kimewakwaza wengi,okey lemme rephrase lets go for guys who are 'average' lol,tusiende kwa watu ambao obvious wana features ambazo ni mushkeli lol.......watu mna hasira ngoja nijifiche.:behindsofa:

Usijifiche mdogo wangu. Tuko hapa kubadilishana mawazo na kupeana changamoto katika maisha.

Ulichosema kuhusu bullying ni kitu kipo mashuleni na huwa kinasumbua sana na kusababisha mtoto kukosa raha hata kuathiri masomo. Kisaikolojia ni kitu kibaya maana kinaharibu kabisa ile hali ya kujiamini kwa mtoto.Kwa hiyo basi nakupongeza sana kwa kuibua mada nzuri.

Visababishi vya bullying viko vingi na vinatofautiana baina ya watoto wa kike na wa kiume na hata jamiii moja hadi nyingine.Mwonekano au wajihi huweza kupelekea mtoto kutaniwa na kuonewa.Kwa mfano anaweza kutaniwa bwanyeye, masikio, bongenyanya,kimbaumbau, zeruzeru, mkaa, milonjo,chongo, ..nk. Anaweza kutaniwa pia kwa sababu ya tabia kama kikojozi etc pale wenzake watakapojua. Anaweza kubatizwa jina la utani likamfanya akose amani. Anaweza pia kuonewa physically kama kupigwa, au kusukumwa kama anaonyesha ni mnyonge wa nguvu za mwili.

Tukija kwenye suluhisho ulilotoa kwamba utafute mwenza mwenye uzuri au haiba ya sura ili mzae watoto wasiokuwa na "kasoro" zitakazowafanya waonewe nadhani ni suluhisho jepesi mno.

Kibaiolojia, mtu anazaliwa jinsi alivyo kwa kurithi vinasaba kutoka kwa uzao wa baba au mama. Nikisema uzao ni zaidi ya wale wazazi , inaenda hadi vizazi nyuma. Unaweza ukachagua mwenza very beautiful au very handsome, msizae watoto "wazuri" kama nyinyi kwa sababu huko kwa mababu na mabibi kulikuwa na watu wenye muonekano tofauti na huo unaoutarajia. Hujasikia " kafanana kweli na babu ya mama mzaa bibi? Lol

Nitaendelea badae ngoja niwajbike tena kwingine
 
thanks AD, ni kweli usemayo ila nikikumbuka hata wenye vitu kama pua kubwa,masikio walikuwa wananyanyaswa bwana .....wengine ndio wanakupa na jina kabisaaa...utasikia akimtusi mwenzie pua lile kama la pauline,LOL:laugh::laugh:

hahahahah lol
ni kweli lakini
lakini wale ambao walikuwa na kitu cha nyongeza ( I mean pua kubwa, kichogo kikubwa)
ndo walikuwa wanaakili sana
sijua kwa nini tu ..

nway ndo maana hawa kupata maneno makali sana..
wale wazuri wale ambao kichwani zero ndo nakumbuka ndo walikuwa
wanapata shida kidogo ..
halafu ndo hawa ambao wavulana walikuwa wanawafuata futa
chi wivu wa wengine sasa hahaha lol
sijui miaka hii lakini miaka ile niko shule ya msingi tulikuwa tunashindana kiakili sana darasana ..
hata uwe na sura chachu ka ukwaju lakini kama zinapanda ume win..

lakini nchi za huku mashariki ya mbali especially high schools achananazo dear
hata usipo nyoa miguu utaipata ....
hao wanene ndo hawana nafasi utakuta mtoto wa mika 15 ana depression ..
balaa tupu..
 
Hii kitu bado tu marytina haijatafutiwa suluhisho bana?
unajua nilikuwa nawaeleza namna navyochanganyikiwa ila JF mkanigeuzia kibao kuwa nataka kwenda MARANGU, hamkutaka kuelewa kuwa MY LOVE NI MMASAI and no one to affsett him.

(uongo mbaya PAULINE ameniacha hoi)
 
Usijifiche mdogo wangu. Tuko hapa kubadilishana mawazo na kupeana changamoto katika maisha.

Ulichosema kuhusu bullying ni kitu kipo mashuleni na huwa kinasumbua sana na kusababisha mtoto kukosa raha hata kuathiri masomo. Kisaikolojia ni kitu kibaya maana kinaharibu kabisa ile hali ya kujiamini kwa mtoto.Kwa hiyo basi nakupongeza sana kwa kuibua mada nzuri.

Visababishi vya bullying viko vingi na vinatofautiana baina ya watoto wa kike na wa kiume na hata jamiii moja hadi nyingine.Mwonekano au wajihi huweza kupelekea mtoto kutaniwa na kuonewa.Kwa mfano anaweza kutaniwa bwanyeye, masikio, bongenyanya,kimbaumbau, zeruzeru, mkaa, milonjo,chongo, ..nk. Anaweza kutaniwa pia kwa sababu ya tabia kama kikojozi etc pale wenzake watakapojua. Anaweza kubatizwa jina la utani likamfanya akose amani. Anaweza pia kuonewa physically kama kupigwa, au kusukumwa kama anaonyesha ni mnyonge wa nguvu za mwili.

Tukija kwenye suluhisho ulilotoa kwamba utafute mwenza mwenye uzuri au haiba ya sura ili mzae watoto wasiokuwa na "kasoro" zitakazowafanya waonewe nadhani ni suluhisho jepesi mno.

Kibaiolojia, mtu anazaliwa jinsi alivyo kwa kurithi vinasaba kutoka kwa uzao wa baba au mama. Nikisema uzao ni zaidi ya wale wazazi , inaenda hadi vizazi nyuma. Unaweza ukachagua mwenza very beautiful au very handsome, msizae watoto "wazuri" kama nyinyi kwa sababu huko kwa mababu na mabibi kulikuwa na watu wenye muonekano tofauti na huo unaoutarajia. Hujasikia " kafanana kweli na babu ya mama mzaa bibi? Lol

Nitaendelea badae ngoja niwajbike tena kwingine
kwenye red...Mtaani kwetu kuna mama watoto wanne ni wazuri ile balaa,machalii humtania mama ongeza mwingine ili mtaa ujae warembo
My take:Nyati ni nyati na ngombe ni ngombe hata wakikross unyati haupotei.


 
Back
Top Bottom