The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Maana kuna mwanamke mwenye sifa alizozitaja vegule yaani ni balaa tupuNa mimi nimeanza kuona kuna hoja fulani ya maana katika wazo la vegule!!!!!!
Maana kuna mwanamke mwenye sifa alizozitaja vegule yaani ni balaa tupuNa mimi nimeanza kuona kuna hoja fulani ya maana katika wazo la vegule!!!!!!
Wewe nawe uko OFF TOPIC hatuongelei habari za wendawazimu hapa
Hii kitu bana kama ina kaukweli fulani vile yaani iko vere vere.
Maks yako mara 100 inaingia kwenye ukweli - lolMmmh! Ama kweli maresearcher wamekuwa wengi sasa.
Suala la kudinywa haijalishi mwanamke ana umbo au rangi gani.
Tatzo wanawake tuna vitu vingi tunavyowavutia wanaume.
Wanawake wengine kucha tu zinawaletea usumbufu. Wengne macho, miguu etc.
Utafiti wako naupa 0.9%
Wise kipenzi una sifa kama hizo hebu kataa bana maana hapa mapigo ya moyo yanaenda fastawewe,,,,,,:A S-alert1:
Wise kipenzi una sifa kama hizo hebu kataa bana maana hapa mapigo ya moyo yanaenda fasta
heheheheheheh angalizo lako cio tamu mana c mchezo unatutishia au ndio tuseme?
SIWATISHII ILA NAWAPA MATOKEO YA UTAFITI. YAANI DISSEMINATION. HUWEZI FANYA RESEARCH UKAFUNGIA MATOKEO KWA SHELFU. IT WILL BE USELESS. Habari ndo hiyoHeheheheheheh angalizo lako cio tamu mana c mchezo unatutishia au ndio tuseme?
mwenye masikio ya kusikilia na asikie!!!!! Toeni maoni yote ila this is an established veracity
kwa nini ulioa mwanamke mliepishana nae sana? mwanamke mzuri kwa kila kitu kummeintain ni kazi lazima uwe na cash ya uhakika na umnyenyekee vile vile kifupi mwanamke mzuri anapenda maisha mazuri vile vile so kazi kwenu
Hii kitu bana kama ina kaukweli fulani vile yaani iko vere vere.
nikiwa kama celebrity wa hizi anga za mahusiano na mapenzi na maushauri, napenda kuchukua nafasi hii kuthibitisha kwamba hii sredi ni ukweli mtupu. mafaili ya research yangu yatawasilishwa hapa JF baada ya krismasi.
asanteni kwa ushirikiano.
usjali, zipo katika final processing, sisi ndio tunaotafsiri great thinking kwa vitendo bana, sio porojo tu. stay tuned.mie hata siamini mpaka nione hizo faili...
usjali, zipo katika final processing, sisi ndio tunaotafsiri great thinking kwa vitendo bana, sio porojo tu. stay tuned.
i like that excitement of yours, lemme extend the deadline to enjoy the most of it. hii luga nimeandika hata sielewi nimeandika nini, sore kama nimeflirt. lolnow u got me excited i cant wait ....:whoo::whoo:
i like that excitement of yours, lemme extend the deadline to enjoy the most of it. hii luga nimeandika hata sielewi nimeandika nini, sore kama nimeflirt. lol
Mabnt wazur hawaolewi, wenzako 2najirusha nao tu,then una2pa mbali...