Double Elephants
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 522
- 464
J
Kakusaliti wapi? Wa-tz tuko na shida, uelewa wetu na uchambuzi wa masuala hasa yale yenye manufaa hatuwezi. Tunalishwa matango pori na waliofirisika kisiasa baada ya kushindwa kujibu hoja za msingi. Kwahili, mdahalo wa wagombea ni muhimu kujua usaliti wa Lissu nakile kinachodaiwa uzalendo wa jpmLissu ni adui wa Taifa amesaliti Nchi anatembea na laana
Atapewa kura na robert