Uzuri wakimchagua wao waliomchagua wanakuwa wa kwanza kuisoma nambaTusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake.
Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka, siyo yale anayotaka yeye.
28/10/2020 imekaribia sana, ndugu Watanzania tusifanye makosa.
View attachment 1595370
Kwa kweli mkuu yani jiwe akitoka madarakani siku hiyo hapa kwangu kutakuwa na tafrija jioni.ila mkuu mwaka huu wizi Wa kura utakaofanyika haijawahi kutokea toka hii nchi ipate Uhuru.nimetonywa na mwenyekiti wetu Wa mtaa,zamani alikuwa cdm akaunga juhudi ..Hakuna namna huyu jiwe lazima adondoshwe. Hatakiwi hata na mkewe.
Hivi ni usalama upi ambao huyu jamaa anahofia ?Pia rais anaejiamini sio kufunga mabarabara ya pale Ikulu kuogopaogopa anatuletea usumbufu sana wananchi kuzunguzunguka anafanya barabara kama mali zake binafsi yani nna hamu nae mimi huyu $%##@@*&&&&...
Tukutane tr 28 October
Huyo anafanya nn hapo?
Kila mtu mwenye akili timamu anajua hivyo vyama vingine ni mamluki wa ccm tu.Hahahaha Bia yetu at work,
Kwani wagombea ni Lissu na jpm tu?
Mkuu hata kumfuatilia umejitahidi sana mimi nilivyoona uzi kaujaza yeye nikajua hakuna mchangiaji hapa hana hoja zaidi ya kusifia Ccm iliyokataliwa na watu.Nimekufuatilia sana uchangiaji wako.. mbona hua huongei point mkuu, unashangaza sana watu jinsi unavyotoa majibu yako, hayana sense kabisa
Huyu ni Mbowe na beberu mwanamke au sio ?Huyo anafanya nn hapo?
Huo wizi wa kura utagharimu pia maisha ya watu, tujiandae kwa hilo pia.Kwa kweli mkuu yani jiwe akitoka madarakani siku hiyo hapa kwangu kutakuwa na tafrija jioni.ila mkuu mwaka huu wizi Wa kura utakaofanyika haijawahi kutokea toka hii nchi ipate Uhuru.nimetonywa na mwenyekiti wetu Wa mtaa,zamani alikuwa cdm akaunga juhudi ..
Hakuna mtz ambaye yuko tayari kufa kwa ajili ya Robert AmstadarmView attachment 1595533
Hebu orodhesha list ya mabeberu. Sijui wanatoka wapi sijui kuzimu au ni mfano kama mashetani. tuulize swali hivi shetani ni maada?Lissu ndio Aliwatetea Mabeberu yatuibie madini yetu
Tushukuru Rais Magufuli akatutetea sasa tunafaidika na madini yetu
Huu Usaliti alioufanya lissu utamtafuna na kizazi chake
Hebu orodhesha list ya mabeberu. Sijui wanatoka wapi sijui kuzimu au ni mfano kama mashetani. tuulize swali hivi shetani ni maada?
Tangu sasa tungependa kwenye kampeni zenu muwataje bayana mabeberu ambayo Lissu anawatetea.
BEBERU NI NANI, ANATOKA NCHI GANI
Wanachi mnatuchanganya na hili neno la jumla jumla. Kama beberu ni shetani mtuambie au ni wale mliosaini nao mikataba ya madini au ni wengine. Watajeni huenda wakiona majina yao wakaogopa. Muwataje kila mmoja na mseme ubeberu wake ili huko waliko wajue waogope. Msipowataja wananchi hawatawaelewa watawachukulia mnalia wivu tu.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Aanza yeye kumnyima kura Magufuli maana alitishia kupiga shangazi zakeTusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake.
Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka, siyo yale anayotaka yeye.
28/10/2020 imekaribia sana, ndugu Watanzania tusifanye makosa.
View attachment 1595370
Msaliti wa nchi ni yule anayejiona bilala yeye taifa haliwezi kuendeleaChadema itajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera
Lissu akiwaletea hata wabunge wawili mkatambike
Msaliti wa nchi ni yule anayejiona bilala yeye taifa haliwezi kuendelea
Kakusaliti wapi? Wa-tz tuko na shida, uelewa wetu na uchambuzi wa masuala hasa yale yenye manufaa hatuwezi. Tunalishwa matango pori na waliofirisika kisiasa baada ya kushindwa kujibu hoja za msingi. Kwahili, mdahalo wa wagombea ni muhimu kujua usaliti wa Lissu nakile kinachodaiwa uzalendo wa jpmLissu ni adui wa Taifa amesaliti Nchi anatembea na laana
Atapewa kura na robert