Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,841
Wadau naombeni ushauri wenu nahitaji kununua simu Kati ya hizi mbili nichukue moja tu, mzigo wa pesa umetema January hii mapema tu mwaka nauanza vizuri.
Zikiwa zote ni gb 516 internal storage Kati ya iPhone 14 pro max na Samsung galaxy note 22 ultra ni ipi inanifaa nikienda hata bitch na maeneo ya kula bata najidai nakuitoa mbele za celebrities bila wasiwas.
N. B. kujenga nyumba sio kipaombele changu kwahiyo ushauri wa maisha yangu achana nao.
Zikiwa zote ni gb 516 internal storage Kati ya iPhone 14 pro max na Samsung galaxy note 22 ultra ni ipi inanifaa nikienda hata bitch na maeneo ya kula bata najidai nakuitoa mbele za celebrities bila wasiwas.
N. B. kujenga nyumba sio kipaombele changu kwahiyo ushauri wa maisha yangu achana nao.