Andrew Nyerere on Mwalimu humble children!

Andrew Nyerere on Mwalimu humble children!

Ebana eeeh...Jasusi kumbe umekula chumvi hivyo.....vipi, tayari umeshaanza kuitwa babu?

Like I said:
I feel like I've seen you somewhere. Namsubiri rafiki yangu Nyani Ngabu afunguliwe kwanza ndipo tutazungumza zaidi.
BTW ukiniamkia shikamoo sitakataa!
 
Like I said:
I feel like I've seen you somewhere. Namsubiri rafiki yangu Nyani Ngabu afunguliwe kwanza ndipo tutazungumza zaidi.
BTW ukiniamkia shikamoo sitakataa!

Umeona countdown hiyo lakini? Kaeni mkao wa kula maana kuanzia sasa anaweza akatinga muda wowote ule....
 
Naungana na Dilunga. Kama tunaona ni kosa kuzungumzie maisha ya watoto wa Nyerere basi vile vile hizo details za kushikana mikono, kupungia mikono, kwenda baharini n.k. nazo hazikuwa na nafasi humu. Ingetosha kabisa kwa mwandishi kusema alisoma na Andrew Nyerere Tambaza mwaka fulani kwa hiyo asingeweza kuwa Mkwawa kama ilivyodaiwa. Hayo mengine hayakuwa na haja.

Humu ndani taarifa ikiletwa kila mwanachama ana uhuru wa kuichambua na kuidadisi apendavyo ili mradi hatumii lugha isiyokubalika na jamii. Imeletwa taarifa ambayo ni sycophantic na watu wamejiuliza kulikoni. Kitu ninachoona kilichofanyika ni kuwa-humanise wote waliojadiliwa.

Sisi kama jamii tuna kawaida ya kuwaweka watu kwenye ivory towers ambazo zinakuwa kama mnyororo katika shingo zao. Sasa kama Andrew, John na wengine wanakunywa, so what? Tujifanye hawanywi kwa sababu ni watoto wa Mwalimu? Kwa kuwajadili hawa tumeweza kuona vile vile priorities zetu kama jamii. Wngine wetu tumewalaani kwa kutochangamkia tenda wakati huo huo tukiwalaani wale ambao wamechangamkia tenda! Tumeweza vile vile kujadili nafasi ya mzazi katika jamii yetu. Yote hayo si madogo. Ndiyo uzuri wa www. Inakupeleka usikotarajia.

Amandla..........

Nyinyi kama sio watoto wa Nyerere tatizo lenu nini na jinsi alivyowalea wanawe?
 
Shwari,
Asante mkuu kwa ufafanuzi. Hata mimi ni zao la Aga Khan (Tambaza). Na baadhi uliowataja tunafahamiana ingawa mimi pale niliondoka kabla wewe hujajiunga.

Jasusi,

Asante sana. Nimefurahi sana kusikia kwamba wewe pia ni mwana Tambaza. Nakumbuka sana nyakati zile. Pia kama ulivyosema, unafahamiana na baadhi ya wana Tambaza niliowataja ambao hata mimi nawafahamu. Kuna wengine ambao wapo hapa JF.

Nitakumbuka maisha yetu Tambaza daima.

Kila la kheri.
 
Andrew Nyerere alikuwa mwanafunzi Tambaza High School mwaka huo wa sabini. Mimi pia nilikuwa Tambaza High School 1969 - 1970.
Huh........!!!!
Shwari,
Asante mkuu kwa ufafanuzi. Hata mimi ni zao la Aga Khan (Tambaza). Na baadhi uliowataja tunafahamiana ingawa mimi pale niliondoka kabla wewe hujajiunga.
Heshima yenu wakuu.....
 
Like I said:
I feel like I've seen you somewhere. Namsubiri rafiki yangu Nyani Ngabu afunguliwe kwanza ndipo tutazungumza zaidi.
BTW ukiniamkia shikamoo sitakataa!

Shikamoo Jasusi....habari za masiku?
 
ndugu zangu,

..binafsi nimem-criticize Mwalimu sana tu kutokana na utekelezaji wake wa sera mbalimbali Tanzania. nasisitiza utekelezaji. lakini kuanza kumkosoa kwasababu wanawe wako hivi au vile nadhani tumekwenda mbali kidogo.

Shwari,

..inawezekana kuna mtoto wa Mwalimu, siyo Andrew Nyerere, aliyesoma sekondari Mkwawa.

..halafu mbona urafiki wako na Andrew Nyerere ulikuwa wa michezo-michezo tu? unasimulia mlivyokuwa mkipanda juu ya dari, ua kwenda baharini, au kusikiliza redio. when were you guyz studying, if you did at all?

..sasa na nyinyi mnaomsimanga Mwalimu kwa malezi ya watoto wake nadhani mmeusoma vizuri ushuhuda wa Shwari. Mwalimu kapeleka mwanae akasome, kina Shwari wanampandisha juu ya dari, na kumpeleka baharini kupunga upepo.

..mara nyingine wazazi wanajitahidi kwelikweli, lakini watoto nao wanakwenda wanapata waalimu wengine mitaani.
 
ndugu zangu,

..binafsi nimem-criticize Mwalimu sana tu kutokana na utekelezaji wake wa sera mbalimbali Tanzania. nasisitiza utekelezaji. lakini kuanza kumkosoa kwasababu wanawe wako hivi au vile nadhani tumekwenda mbali kidogo.

Shwari,

..inawezekana kuna mtoto wa Mwalimu, siyo Andrew Nyerere, aliyesoma sekondari Mkwawa.

..halafu mbona urafiki wako na Andrew Nyerere ulikuwa wa michezo-michezo tu? unasimulia mlivyokuwa mkipanda juu ya dari, ua kwenda baharini, au kusikiliza redio. when were you guyz studying, if you did at all?

..sasa na nyinyi mnaomsimanga Mwalimu kwa malezi ya watoto wake nadhani mmeusoma vizuri ushuhuda wa Shwari. Mwalimu kapeleka mwanae akasome, kina Shwari wanampandisha juu ya dari, na kumpeleka baharini kupunga upepo.

..mara nyingine wazazi wanajitahidi kwelikweli, lakini watoto nao wanakwenda wanapata waalimu wengine mitaani.

Hilarious,

To be fair mkuu alisema walikuwa wanaenda jioni, hakusimulia kama walikuwa wanaweka maji kwenye karai halafu kuweka miguu kwenye maji wakisoma usiku kucha, huku pembeni wakiwa na vikombe vya kahawa au vipi.
 
ndugu zangu,
..binafsi nimem-criticize Mwalimu sana tu kutokana na utekelezaji wake wa sera mbalimbali Tanzania. nasisitiza utekelezaji. lakini kuanza kumkosoa kwasababu wanawe wako hivi au vile nadhani tumekwenda mbali kidogo.

Joka...hata mimi nina maoni hayo hayo. Malezi ya watoto wa Nyerere kwa kweli, kwa mtazamo wangu mimi, hayatuhusu. Hayo ni mambo ya kifamilia.

Tunavuka mno mstari na kuanza kumkosoa Mwalimu kwa mambo binafsi. Malezi ya watoto wake sisi yanatuhusu vipi? Oooh eti mmoja wa watoto wake mlevi..so what? Kuna walevi wangapi dunia hii?

Lawama lawama lawama ad infinitum...and then what?
 
Joka...hata mimi nina maoni hayo hayo. Malezi ya watoto wa Nyerere kwa kweli, kwa mtazamo wangu mimi, hayatuhusu. Hayo ni mambo ya kifamilia.

Tunavuka mno mstari na kuanza kumkosoa Mwalimu kwa mambo binafsi. Malezi ya watoto wake sisi yanatuhusu vipi? Oooh eti mmoja wa watoto wake mlevi..so what? Kuna walevi wangapi dunia hii?

Lawama lawama lawama ad infinitum...and then what?

Mkuu umerudi? Habari ....!
 

Mwalimu kapeleka mwanae akasome, kina Shwari wanampandisha juu ya dari, na kumpeleka baharini kupunga upepo.

Jokakuu,

Unajuaje kama sio Andrew ndio alikuwa anawapandisha wenzake kwenye madari Tambaza na kuwafundisha wenzake kuzurura baharini wakishikana mikono na kuning'inia kwenye madaraja badala ya kusoma?

Yeye ndie alikuwa mzawa wa daraja la juu, inawezekana yeye ndio alikuwa amedekezwa, hapendi shule.

Watoto wa wakulima na wafanyakazi, kina Shwari, inawezekana, ndio wakawa wanapotoshwa njia. Hatujui.
 
Mkuu umerudi? Habari ....!

Heheheheheee....nilikuwepo kama sipo......habari njema kabisa. Karibu nachoma nyama hapa na kuna bonge la keg la Heineken na kama unapenda Stella Hatoi pouwa tu...naye anapatikana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom