Andrew Nyerere on Mwalimu humble children!

Sijui ni picha gani inayozungumziwa hapo. Lakini kama ni ile ya zamani iliyopigwa katika viwanja vya Ikulu, Manyerere hakuwepo pale,ambapo Madaraka alikuwa amepakatwa, Manyerere alikuwa hajazaliwa. Mambo mawili watu wanapaswa kujua kuhusu John. Kwanza ni jinsi alivyofukuzwa shule Mazengo Dodoma. Yeye na wenzake watatu waligombana na mlevi mmoja mjini Dodoma. Wakampiga,yule baadaye,akafa. Kwa hiyo manslaughter wakafukuzwa shule. Jambo la pili ni jinsi alivyokuwa anaishi Ikulu baada ya kufukuzwa shule. Siku moja usiku alimleta msichana kutaka aingie naye ndani. Mlinzi wa Usalama wa Taifa akamzuia. John akajaribu kupanda ukuta aingie,akateleza,akaanguka. Kama umeiöna Ikulu,kutoka ghorofa ya kwanza akaanguka kwenye sakafu. Jambo la tatu ni jinsi alivyougua. Muda aliougua ni takriban nusu ya maisha yake. Halafu,it gets worse, John amefukuzwa shule,amekwenda Air Force,alipofika. Ngerengere Air Force Base,. C. O., Commanding Officer,alikuwa ndugu yake yule headmaster aliyemfukuza Mazengo.
 
Joka,

mtoto kwa baba hakui, na si kosa kumuita mtoto wa fulani "mtoto wa fulani", angalau katika utamaduni wetu.

Swala la ugonjwa wa akili ni kwa kina Nyerere wote, si Makongoro tu.Mimi nishaambiwa na mtu aliyekuwa anakaa kwa Siyovelwa -watu waliokuwa karibu sana na kina Nyerere siku za kwanza kabisa za uhuru- kwamba ukoo wa Nyerere ni "lunatics", zikifika tarehe fulani fulani za full moon inabidi wataalam wasicheze mbali na ikibidi kuwapunga mapepe.

Hata yule Andrew ukikaa naye sana utagundua si mzima, kuna wakati wakawa wanasema mizinga ya vita vya kagera imemzibua katika ku spin issue.
Kwa comment hii na jinsi Hendrew anavyocomment hapa jukwaani. Nashawishika kuamini.
 
Nimejifunza mambo mengi sana humu...ahsante sana wazee wetu kwa ukongwe na kutokuwa biased katika kutoa nondo
 
Ninapoipitia hii thread nakumbuka enzi zile za utoto pale Ikulu, sherehe za kuzima mwenge zilikuwa zinafanyika pale kwenye ule uwanja. Enzi za zidumu fikra sahihi za mwenyekiti, halafu wote tunaitikia kwa nguvu zidumuuuu.

Nyerere alikuwa so simple, pembeni yake anakuwepo Rashid Kawawa, basi wakati hotuba ikiendelea anakuwa anamtaja mara kwa mara "Rashidi", very very interesting.

Watu tuliokuwa tunaishi mitaa ile ya Shaaban Robert, Luthuli, Samora, Ghana na Garden avenue, tulikuwa tunaingia Ikulu kufuata mikate iliyokuwa inapikwa kule jikoni, mara nyingi tunakutana na Mwalimu JKN koridoni, yeye anaingia Ikulu sisi tunatoka na mikate yetu mikononi, hakuwa na mbwembwe wala majivuno, siku zote amevaa suti zake za mikono mifupi na kifimbo chake mkononi.


Niliwahi kuwaona hao kina Andrew na wadogo zake kwenye sherehe moja pale mtaani, ilikuwa ni kwa Mama moja aliyekuwa anafanya kazi Ikulu, Marehemu John alikuwa amevaa kungfu shoes, muda wote anatuchekesha huku akiinua miguu yake akionyesha namna karate inavyochezwa. Ghafla akaanza kuongea kama Marehemu Baba yake, tukawa tunacheka.

Familia ya mwalimu, ni watu rahimu waungwana, nafurahi sana kubahatika kuwaona enzi hizo ambapo baadhi tulikuwa bado watoto.
 
Sijui ni picha gani inayozungumziwa hapo. Lakini kama ni ile ya zamani iliyopigwa katika viwanja vya Ikulu, Manyerere hakuwepo pale,ambapo Madaraka alikuwa amepakatwa, Manyerere alikuwa hajazaliwa. Mambo mawili watu wanapaswa kujua kuhusu John. Kwanza ni jinsi alivyofukuzwa shule Mazengo Dodoma. Yeye na wenzake watatu waligombana na mlevi mmoja mjini Dodoma. Wakampiga,yule baadaye,akafa. Kwa hiyo manslaughter wakafukuzwa shule. Jambo la pili ni jinsi alivyokuwa anaishi Ikulu baada ya kufukuzwa shule. Siku moja usiku alimleta msichana kutaka aingie naye ndani. Mlinzi wa Usalama wa Taifa akamzuia. John akajaribu kupanda ukuta aingie,akateleza,akaanguka. Kama umeiöna Ikulu,kutoka ghorofa ya kwanza akaanguka kwenye sakafu. Jambo la tatu ni jinsi alivyougua. Muda aliougua ni takriban nusu ya maisha yake. Halafu,it gets worse, John amefukuzwa shule,amekwenda Air Force,alipofika. Ngerengere Air Force Base,. C. O., Commanding Officer,alikuwa ndugu yake yule headmaster aliyemfukuza Mazengo.

Mwalimu wa Such a Humble Leader , pamoja na kuwa mtoto wake alikuwa Mtundu sana still angeweza kumpeleka shule nyingine baada ya kuwa kafukuzwa , sio rahisi kwa africa yetu hii kumfukuza shule mtoto wa rais , au mtoto wa rais anaenda jeshini kama rubani na ananyanyaswa na a simple CO , ambaye ni Kanali na alalamike kama wengine tu.....au aache kazi !
au mtoto wa rais azuie kuingia na "malaya" "nyumbani" aumie na Baba yake asichukue hatua...hata kwa msukumo wa Mama
 
Back
Top Bottom