hicho kidonge unapiga kwa maelekezo maalum pombe unajipimia tusio Kweli.
hata vidonge vina kapombe kidogo ukisema hivyo unatangaza vifo vya wagonjwa wote mahospitalini.
na unahatarisha usalama wa kazi za madaktari.
acha hizo mzee.
mimi sio picha, mimi ni mtu halisi. picha yangu sio mimi.Hiyo picha uliyoweka dp sio wewe
pombe ni nini?hicho kidonge unapiga kwa maelekezo maalum pombe unajipimia tu
Mimba ya Mungu.Mimba ni ya nani? mwanaume au mwanamke?
hospitali unapewa dozi mtaani unajipa dozipombe ni nini?
Pombe ni alcoholic content katika hicho kinywaji na kidonge.
Nakubishia pia pomne za viwandani na mitaani hujipimii wanakupimia wanaokutengenezea na kuweka kiwango.
hahahahahhaaaaMatunduizi kile chakula cha mama ntilie kilikuwa na kemikali gani mpaka kikakufanya uanzishe huu uzi? Kalale kama umevuta bangi usirudie na kama ni gongo badili muuzaji.
Mungu anampa nan sasa mwanaume au mwanamkeMimba ya Mungu.
Maana kuna mahali nilisoma anasema '' nalikuumba tumboni mwa mama yako''.
hao wawili ni mawakala tu wa mimba.
Hapanahospitali unapewa dozi mtaani unajipa dozi
Mungu hampi mtu kitu, anatengeneza mambo yake kupitia watu.Mungu anampa nan sasa mwanaume au mwanamke
nabisha.Watoto aliokuzalia mke wako wote ni damu yako hakuna mwanaume mwingine aliyekusaidia kwa kumla tunda mke wako
Kwahiyo wewe umepewa mimba na MunguMungu hampi mtu kitu, anatengeneza mambo yake kupitia watu.
Ndio maana mtoto sio wa mke wala mme. ni wa Mungu na kidogo ni waserikali. Ukimuua unashughulikiwa.
mimi sio mbishi.Jamaa mbishi huyu
hapana.Kwahiyo wewe umepewa mimba na Mungu
Mimba yako anayo nani?hapana.
mimi sina mimba.
nabisha
kitu ambacho sina sio changu.Mimba yako anayo nani?