blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,470
- 12,628
Unawezaje tweza,dhalili,kashifu,tukana na kuuchafua UTU wa binadamu mwenzako kiasi hiki?
Kwani huko kwenye media hakuna 'norms', 'rules of conduct'. Au shule ndogo , au mtu hajielewi tu. Au labda mtu anakuwa amevimba kichwa na kusahau kabisa kwamba yeye pia si kitu si chochote.
Huwezi andika maneno haya aisee, haijalishi uliumia sana au ulikasirika sana. Haiwezekani.
Kwanini tunajisahau aisee. Alafu yupo kazini huyu mtu?
Kwani huko kwenye media hakuna 'norms', 'rules of conduct'. Au shule ndogo , au mtu hajielewi tu. Au labda mtu anakuwa amevimba kichwa na kusahau kabisa kwamba yeye pia si kitu si chochote.
Huwezi andika maneno haya aisee, haijalishi uliumia sana au ulikasirika sana. Haiwezekani.
Kwanini tunajisahau aisee. Alafu yupo kazini huyu mtu?