Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 570
- 1,229
Habari wanaJF.
Kuna wanasayansi wengi wamepita na wamefanya mengi mazuri, na sifa zao zinaishi mpaka kesho.
Lakini Kuna wanasayansi waliogundua kwamba ili mtu alale Ni lazima angalau ajifunike chochote lakini wanasayansi hao hawajulikani au ni jambo lililotokea kwa asili?
Kwamba watu walijikuta wanafanya hivyo? Wewe unapenda kujifunika nini? Na unampa asilimia ngapi mgunduzi wako wa kujifunika??
Kuna wanasayansi wengi wamepita na wamefanya mengi mazuri, na sifa zao zinaishi mpaka kesho.
Lakini Kuna wanasayansi waliogundua kwamba ili mtu alale Ni lazima angalau ajifunike chochote lakini wanasayansi hao hawajulikani au ni jambo lililotokea kwa asili?
Kwamba watu walijikuta wanafanya hivyo? Wewe unapenda kujifunika nini? Na unampa asilimia ngapi mgunduzi wako wa kujifunika??