Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,136
- 4,192
Namna viongozi wa Anc na CCM wanavyobehave ni namna moja.
Walijinyenyekeza kwa wananchi na kujionyesha kuwa wapo kwa ajili ya kutumikia wananchi wanyonge.
Lakini kumbe ni watu wakusahau na waiba mali za umma.
Leo hii ni magenge ya wafanyabiashara na wezi wa mali za umma wanaongoza viongozi wa vyama hivi kuibia mali za umma wananchi.
Anc wapo na matajiri wao kama akina Gupta. Ccm wapo na Rostam Azizi.
Watanzania tuikatae CCM.
Walijinyenyekeza kwa wananchi na kujionyesha kuwa wapo kwa ajili ya kutumikia wananchi wanyonge.
Lakini kumbe ni watu wakusahau na waiba mali za umma.
Leo hii ni magenge ya wafanyabiashara na wezi wa mali za umma wanaongoza viongozi wa vyama hivi kuibia mali za umma wananchi.
Anc wapo na matajiri wao kama akina Gupta. Ccm wapo na Rostam Azizi.
Watanzania tuikatae CCM.