BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 4,229
- 5,259
Hujataja beiulishapata hiyo perfum mkuu au nikuuzie maana mm nauza perfum og mkuu
zipo
hugo boss perfum
genesis perfum
112 perfum
utakazo
Hujataja beiulishapata hiyo perfum mkuu au nikuuzie maana mm nauza perfum og mkuu
zipo
hugo boss perfum
genesis perfum
112 perfum
utakazo
Itafute hii cool water David off bei yake ni 450k ila bongo kuna feki nyingi zinacheza 90k-150k.... ila ukiipata genuine utafurahiPafyume za kike sizitaki
Siokweli mkuu..Sisi ndio tunaong'oa pisi kali za under 18
Yo kali eeh?Itafute hii cool water David off bei yake ni 450k ila bongo kuna feki nyingi zinacheza 90k-150k.... ila ukiipata genuine utafurahi
View attachment 2062547
Gift of ZanzibarYeyote anayejua aina nzuri ya perfune yenye manukato yasiyokera mbele za watu isiwe zaidi ya 15,000 nahitaji kununua hata kama ina ujazo mdogo.
Jinsia yangu ni mme
Ahsanteni
Mkuu panda kidogo mpaka as thirty.Dark fever 12000
Fighting temptation 18000
Royal lamba 7000
Zote fresh
Tupate bei mkuu
Unataka kujiua mkuu!Night kiss 8000/- ni nzuri sana
Halafu wapi ntapata midnight poison Dior KWA bei chee