Fahamu zaidi kuhusu aina za Embe na tofauti zake

Godfrey Sway

Member
Apr 13, 2018
37
34
Fahamu Sifa Zinazopelekea Aina Hizi Za Embe Kuwa Bora Zaidi ya Nyingine Sokoni.

Kwa Kawaida Tunda La Embe linapendwa takribani na watu wote kwasababu ya ladha yake ya sukari/ Tamu. Kwenye Biashara Aina hizi za Embe zimeshika Kasi sana Sokoni.
1. Kent Mango.
Hii ni aina ya Embe Kubwa sana, kuanzia gram 800 - 1kg.
Ni Tamu sana pia Ina Rangi nzuri ya kuvutia.

2. Tommy Artikin.
Sifa kubwa za aina hii ya Embe ni Rangi ya kuvutia Sokoni, Embe size ya kati uzito 500g-800g. Embe inakuwa tamu sana hata kama utakula kabla haijaiva.

3. Apple Mango.
Hii ndio Embe inayosifika kuwa na Juice tamu zaidi Kutokana na uchachu iliyonao kwa mbaali. Kokwa Dogo, nyama kubwa haina nyuzi nyingi.

4. Red Indian.
Kwanza aina hii ya Embe inavumilia sana shambani, Tunda Lake rangi nyekundu yakuvutia, Size ya Kati.

5. Dodo.
Hii ni Aina ya Embe ambayo inapendwa na watu wote sababu ya umaarufu wake. Embe tamu sana na pia sio kubwa sana Wala Dogo sana.

6. Alphonso
Duniani wanaita Mfalme wa Embe. inakuwa na rangi ya njano yakung'aa inapokuwa imeiva. Pia ni Tamu sana na Ina harufu nzuri.

7. Palma Mango
Embe inawahi kuzaa na mara nyingi inaanza miezi ya 7-9. Aina Flani ya Embe ndefu kimuinekano, inakuwa na mchanganyiko wa rangi nyekundu kidogo na njano inapokuwa imeiva.

Tumekuandalia aina zote za Miche ya Embe kwa Bei Ile Ile ya 2500 Tu. Miche imebebeshwa yote Hivyo ndani ya Miaka 2 na nusu tu. Utaanza Kuvuna.
Tupigie Leo
Mr. Sway: 0752799673
Glory Farm: 0746850361
Tupo SUA Morogoro Ulipo Tunakufikia

Neutral%20Minimalist%20Hotel%20Promotion%20Flyers_20240104_205723_0000.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom