Hakuna original hapo mkuu, zote ni copy tu
Original zipo, ni mpak uwafaham wauzaji wa uhakika wengine wazinguajiAsee nimeshatumia feki hadi mzuka wa kutafuta og umekata kbsa
kaichanganye na sexy graffity utakuja kunishukuruTajSunset...
ongeza na la nuit tressor, allure sport, pink chiffon, eros for men, escada cherry in the air, profondo.Ngoja mm nikupe list hapa Kazi iwe kwako kuumiza AKILI lkn nukuu ongezea iyo pesa yako Ndugu yang .Nukuu hautokuja kujutia ukitumia hizi bidhaa
Changamoto zake ni kusumbuliwa na wadada
1.Brown orchid
2.Echo
3.Versace
4.Zara
5.Dior
6.GreedAventus sio ile og.
7.Axe polo
8.Hayaat
9.Dark fever
10. Dirham
Mkuuu moja Kati ya hizi bidhaa ni kwere inkaa kwenye nguo 24hours na zaid depends na mazingira unashinda ww
Mademu nje nje huvutiwa na zile harufu quite and smooth haikeri .Sijaweka bei lkn angalau uwe na 25k utaopoa mojawapo kila la kheri katika Safar ya kuwa gentleman
hyo mousuf ya kwnye chupa kma rangi ya udongo ni overrated sanaaCreed aventus ya kupima Mlimani City..35000
Brown orchid ..25000
Echo. ..25000
Diamond ..2500
Phantom ya Rabbane ,Mlimani,35000
Invictus Mlimani City..3500
Mousuf. ..25000
Dior Arabian,70000
Hautojutia Kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
yaaani mkuu uko SAHIHI SANAAAAAKigunia ni over-rated pafyume.
Naichanganyaje mkuu,au ninunue vichupa viwili niwe napiga vyote...kaichanganye na sexy graffity utakuja kunishukuru
Hilo ni jina la duka wanalouza perfume za kupima, so jina la perfume Inakuwa wamebandika kwenye chupa ya perfume ndani.hii shingapi...nimeokota nauzaView attachment 2227128
Hawa Arison wapo Mwenge wanauza perfume.hii shingapi...nimeokota nauzaView attachment 2227128
HahahahaaaaSisi ndio tunaong'oa pisi kali za under 18
yaani changanya kwnye chupa 1, ukienda dukani waambie wakuchanganyieNaichanganyaje mkuu,au ninunue vichupa viwili niwe napiga vyote...
Khalta maryam 15,000Yeyote anayejua aina nzuri ya perfune yenye manukato yasiyokera mbele za watu isiwe zaidi ya 15,000 nahitaji kununua hata kama ina ujazo mdogo.
Jinsia yangu ni mme
Ahsanteni
Naweza kuipata wapi kwa hapa Dar?Perfume na body spray yake kwa 17k tu mzigo upo mikononi harufu yake ni nzuri haikeri
Ngoja nijipulizie nikajaribu kumtongoza mtoto mzuri emmy nitareta mrejesho!! 😂😃View attachment 1706251View attachment 1706252
Perfum isiyozidi 15000 lazima iwe kero tu.Kwani wanatumia ingredients cheap na nyingi ni synthentic chemicals.Yeyote anayejua aina nzuri ya perfune yenye manukato yasiyokera mbele za watu isiwe zaidi ya 15,000 nahitaji kununua hata kama ina ujazo mdogo.
Jinsia yangu ni mme
Ahsanteni