Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,286
- 48,596
Kila mtu ni makini lakini japo Yes we all flawed 🤣Hongera sana, I hope na mimi nitapata watu makini!
Kila mtu ni makini lakini japo Yes we all flawed 🤣Hongera sana, I hope na mimi nitapata watu makini!
Tajirii 🤓Naweza kukupeleka mbugani tukapande Balloon safari 😎
Kaka kwema harakati zinasemajeTajirii 🤓
Sawa, let’s do it!Naweza kukupeleka mbugani tukapande Balloon safari 😎
Mungu ni mwema sana Kaka, harakati ni kama maji tu. TunasongeshaKaka kwema harakati zinasemaje
Inshallah kaka ikawe kheriMungu ni mwema sana Kaka, harakati ni kama maji tu. Tunasongesha
Awwww hiyo ni self golden chance 😎Sawa, let’s do it!
Members wa jf ni wa kipekee sana, mtaani kwetu sijawahi ona mtu anatumia huu mtandaoWaambie kabisa, mimi nimenyooka kama rula na sura ni ya baba mzazi 🤣🤣🤣
Inabidi ujipange kweli kweli kwa hiyo customer careKuwa na customer care
Haya bint wa zamani nimekupata,mimi hapa mhenga mwenzio.tunaweza kuwa friend in serious.Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.
Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.
Muhimu:
- Uwe na exposure
- Uwe open minded
- Uwe unajitegemea
- Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
- Usiwe na shida ndogo ndogo
Kuhusu mimi:
- Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
- Mwajiriwa
- Makazi (Arusha / Dar / Rome)
- Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.
- Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.
- Wenye umri wa zaidi ya miaka 50, mnakaribishwa pia (umri unaweza kuwa negotiable kama umekidhi vigezo vingine)
Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.
Asante na Alamsiki!
Itakuwa ni ile mishangingi inayotamani kuolewa lakini tabia zinamwangushaInabidi ujipange kweli kweli kwa hiyo customer care
Muda wangu ni wa thamani pia, vipi wewe utaulipiaje?Muda ninao spend na wewe ni wa thamani kiasi kwamba hauwezi kuupata free of charge.
How much are you charging hourly ?Muda wangu ni wa thamani pia, vipi wewe utaulipiaje?
Kama upo masaki around here, tupotezee poteze mda hapa CairoMuda wangu ni wa thamani pia, vipi wewe utaulipiaje?
Hapana si kila mtu ni makini, kuna watu wa hovyo piaKila mtu ni makini lakini japo Yes we all flawed 🤣
Wengi wanatumia kwa siri, maana mtu akijua una JF ananza kukuuliza ID yako ni nani.Members wa jf ni wa kipekee sana, mtaani kwetu sijawahi ona mtu anatumia huu mtandao
Sawa, toa kautambulisho kidogo basi.Haya bint wa zamani nimekupata,mimi hapa mhenga mwenzio.tunaweza kuwa friend in serious.
Ni lazima hao watu wawepo ili kuleta balance 😂Hapana si kila mtu ni makini, kuna watu wa hovyo pia
umefunga pm sasa mm ham yangu nile kimasikhara tuuNimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.
Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.
Muhimu:
- Uwe na exposure
- Uwe open minded
- Uwe unajitegemea
- Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
- Usiwe na shida ndogo ndogo
Kuhusu mimi:
- Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
- Mwajiriwa
- Makazi (Arusha / Dar / Rome)
- Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.
- Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.
- Wenye umri wa zaidi ya miaka 50, mnakaribishwa pia (umri unaweza kuwa negotiable kama umekidhi vigezo vingine)
Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.
Asante na Alamsiki!