kama wew ni mpiganaji kweli c ukomae hapa hapa utatoka ,huko cjui arabuni watakuyemen wakuharibu bure shauri yako
ni kheli ingekuwa kufa kuliko kupelekewa moto ,waarabu co wa2 wazuri usijidanganye wewepopote kambi, popote makao, ata nkiacha kwenda kisa ivo vitisho, ntakufa tu.
na familia zinatofautiana kama unavoona tanzania, na makampuni pia ni tofauti kama unavoona tanzania
Una passport?Baraka na fanaka ziwe juu yako upate hitaji la moyo wako ukipata agent leta mrejesho namimi najilipua
Una passport?
Mm ninayo nipe njia mkuu..Una passport?
Njoo inboxMm ninayo nipe njia mkuu..
Susha nondo hapa tufaidike wote mkuuNjoo inbox
Yaani Tip Tip angekuwa hai angechangamkia hii fursa fastaKama kichwa cha habari kinavyojionesha hapo juu, wale wa kutafta maisha.
nina mpango wa kujidunga uarabuni hasa hasa kuwait au qatar, kama kuna anaemfahamu agent yoyote, aje pm anipe no. au kama hatojari bas hapa hapa.
Yaani kazi yoyote ilmradi halali na inayoniingizia kipato, bas kama kuna agent matata, naomba mawasiliano nae.
wakuu, nawasilisha kwenu
kama wew ni mpiganaji kweli c ukomae hapa hapa utatoka ,huko cjui arabuni watakuyemen wakuharibu bure shauri yako