Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,389
- 1,337
- Thread starter
- #81
popote kambi, popote makao, ata nkiacha kwenda kisa ivo vitisho, ntakufa tu.
na familia zinatofautiana kama unavoona tanzania, na makampuni pia ni tofauti kama unavoona tanzania
na familia zinatofautiana kama unavoona tanzania, na makampuni pia ni tofauti kama unavoona tanzania
kama wew ni mpiganaji kweli c ukomae hapa hapa utatoka ,huko cjui arabuni watakuyemen wakuharibu bure shauri yako