Anayefahamu mawakala wa kupeleka watu Uarabuni

popote kambi, popote makao, ata nkiacha kwenda kisa ivo vitisho, ntakufa tu.

na familia zinatofautiana kama unavoona tanzania, na makampuni pia ni tofauti kama unavoona tanzania
kama wew ni mpiganaji kweli c ukomae hapa hapa utatoka ,huko cjui arabuni watakuyemen wakuharibu bure shauri yako
 
popote kambi, popote makao, ata nkiacha kwenda kisa ivo vitisho, ntakufa tu.

na familia zinatofautiana kama unavoona tanzania, na makampuni pia ni tofauti kama unavoona tanzania
ni kheli ingekuwa kufa kuliko kupelekewa moto ,waarabu co wa2 wazuri usijidanganye wewe
 
ni kheli ingekuwa kufa kuliko kupelekewa moto ,waarabu co wa2 wazuri usijidanganye wewe
kwani mm nmesema najidanganya, soma kichwa cha habari mkuu mengine muachie mungu, kwani wewe unajua kesho yako
 
Baraka na fanaka ziwe juu yako upate hitaji la moyo wako ukipata agent leta mrejesho namimi najilipua
 
Kama kichwa cha habari kinavyojionesha hapo juu, wale wa kutafta maisha.

nina mpango wa kujidunga uarabuni hasa hasa kuwait au qatar, kama kuna anaemfahamu agent yoyote, aje pm anipe no. au kama hatojari bas hapa hapa.

Yaani kazi yoyote ilmradi halali na inayoniingizia kipato, bas kama kuna agent matata, naomba mawasiliano nae.

wakuu, nawasilisha kwenu
Yaani Tip Tip angekuwa hai angechangamkia hii fursa fasta
 
Yaani Tip Tip angekuwa hai angechangamkia hii fursa fasta
, ila wale jamaa walkua na akili mingi, sema waliitwa wakoloni tu sababu, hawakua na uraia,

ila mijeledi na mambo mengina ata apa tz yapo
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom