The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 3,611
- 9,269
NB:
Anayetaka kuthibitisha hili, aende pale Mabibo zilipo Hostel za wanachuo wa UDSM aulize steshenari aliyokuwa anauza Dada Devotha. Watakuambia hajui alipo zaidi ya wiki sasa....
Shetani yuko kazini jamani kulinda himaya na utawala wake ktk Tanganyika akiwatumia mawakala wanadamu wenzetu kina Samia na genge lake....
Kila mtu na awe makini sana ktk kupigana vita hii ya kupambana na mkoloni mweusi mwenzetu....
Enenda kwa akili na hekima ya hali ya juu sana itokayo mbinguni kuepuka kufa au kuumizwa kizembe na hayawani hawa wa CCM...
HATA HIVYO, NAWATIA MOYO WAPIGANAJI WOTE WALIO FIELD LIVE, WANA MAOMBI WANAOOMBA MUNGU USIKU NA MCHANA KUIPONYA NCHI NA TAIFA LETU, WANA MIKAKATI YA VITA WALIO MAFICHONI NA MITANDAONI KUWA, MSIOGOPE, MUNGU MKUU WA MBINGUNI YUPO PAMOJA NASI, TUMESHAMSHINDA ADUI. BADO KITAMBO KIDOGO TU ITADHIHIRIKA NA KILA MTU ATAONA, KUELEWA NA KUMTUKUZA MUNGU...