antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,626
- 120,158
Ebu tutajie hao maadui basi.Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mojawapo ya faida ni kiusalama kwani baada ya mapinduzi ya Zanzibar kulikuwa na hofu ya waarabu kujipangia na kurejea na kupambana na Wazanzibari na ni rahisi Tanganyika kupigwa na maadui kwa kutumia ardhi ya Zanzibar..
Ukiacha Zanzibar, Tanganyika imepakana na mataifa mengine 8.
Kama hiyo hofu ya usalama ingekuwa ya kweli, ingebidi Tanganyika iungane na mataifa yote 8 ili kuondoa hiyo hatari.
Sababu ya kiusalama ni propaganda tu inayotumiwa kwa hila kuhalalisha muungano usio na tija.
Zanzibar inapata faida nyingi kutokana na muungano. Kwa upande wa Tanganyika, ni hasara tupu