Anatishia kunywa sumu au vidonge

Anatishia kunywa sumu au vidonge

Huo umuhimu haupo kwng ikiwa atashindwa kuishi na ndugu yake je ndugu yangu itakuaje? Npo Tyr tuachane na waondoke wote wawili ila sipo Tyr kufata masharti yake wanawake ni nyoka na Wana majaribu sn akikujaribu ukajaribika Bs tegemea kesho Hilo jaribu kukugharimu sn kesho tamleta ndugu yangu SI ndo yatamkuta makubwa sana kwaiyo nitasimamia ninachokiamini tu SI kile anachokiamini huyu mwanamke over
Unachokifanya utasababisha mauaji ya ndugu.....
Najua una soln ya nini ufanye...
 
Usimfukuze huyo shemeji yako ,mfukuze mkeo huyo mwenye roho MBAYA
Hana roho mbaya....
Hana nakwambia....Mimi mume wangu sitaki awe na mazoea na wanawake awe ndugu asiwe ndugu,
Yaani ndo hiyo kuongozana!??
Unapata hofu.....wanaume wenyewe wachache.....atapokonywa huyo au kashapokonywa tayari...trust me
 
Ili kesho nimlete ndugu yangu naye alete za kuleta naye nimuondoe au siyo eeeh kwamba ndugu yng akija ndo hatosema aondoke au siyo kama Kwa ndugu yake kaweza vp Kwa ndugu yangu
Achana na hayo mambo ya ujinga hapa.....
Yaani sehemu unapolala na mkeo Kila mtu apatizame na kuingia ....
Ndo unasema roho mbaya mtu akikataahuyo mwanamke umpendi....achana nae....
Hapa unajidhalilisha tu....
 
Hana roho mbaya....
Hana nakwambia....Mimi mume wangu sitaki awe na mazoea na wanawake awe ndugu asiwe ndugu,
Yaani ndo hiyo kuongozana!??
Unapata hofu.....wanaume wenyewe wachache.....atapokonywa huyo au kashapokonywa tayari...trust me
Mtoa Mada anabidi amfukuze mke wake na sio shemeji yake Dunia ya leo haitaji watu wenye ROHO mbaya
 
Oa wote basi..Sa we ilikuwaje kwanza akaja hapo.Tena Single room hiyo.Acha kujiweka kwenye mitihani ya kijinga.Kama unatka ongeza chumba cha tatu tu....

Ila wewr utakuwa unataka masikhara na huyo mdogo mtu.
 
Naona unaongea pumba tu hujui Kuna watu wanaishi na WA dada wa kazi hao ndo wanabaki na watoto Tena wadogo sn ndo wanafanya usafi mpka chumbani na kulaza watoto wanaachiwa Kila kitu kuanzia asbh mpaka usku. Je kuingia kwao huko chumbani kumepunguza nn
Chumba chako na mke wako asafishe msichana wa kazi? Na wewe unaona sawa tu? Yeye mke kazi yake ni nini?
Wewe ni mwanaume wa ajabu.
 
Chumba chako na mke wako asafishe msichana wa kazi? Na wewe unaona sawa tu? Yeye mke kazi yake ni nini?
Wewe ni mwanaume wa ajabu.
Kwani chumba ndo Nini acheni ushamba wa kijinga Sasa chumba ndo Nini !!!

Sisi tumekulia Maisha ya hivyo na tupo vizuri nashangaa sijui chumba Cha baba sijui Cha Mama ndo ??? Mnacomplicate Sana mambo


Mtoa Mada upo sahihi Sana nimependa attitude yako.
 
Kwani chumba ndo Nini acheni ushamba wa kijinga Sasa chumba ndo Nini !!!

Sisi tumekulia Maisha ya hivyo na tupo vizuri nashangaa sijui chumba Cha baba sijui Cha Mama ndo ??? Mnacomplicate Sana mambo


Mtoa Mada upo sahihi Sana nimependa attitude yako.
Kama wewe umempenda unalazimisha na sisi tumpende? Endeleza mapenzi kwa raha zako.

Kama umelelewa room moja na unaona ni kawaida usitake tufanane na wewe, wengine hatujawahi kuishi maisha ya hivyo.
 
Saa 11 alfajiri mtu anapost magumu ya kuishi na mwenzake A.K.A ndoa.
Mkiambiwa msioe "Mnakuja na essay humu za kutuita mashoga na LGBT (sijui ndio inaandikwa hivyo)"" na wengine wanakwambia eti ""Tumelelewa na single mazas""

Ila, mtajuana wenyewe na hizo ndoa zenu za sogea tuishi mi nachojua ""Nitafute hela ili nisipange kwenye nyumba na chumba na sebule, bali nikapange upande mzima Makumbusho au Sinza""

#YNWA

Akili mbovu ndani ya akili,so uneona kupanga nyumba ni bora kulikokutafuta kujenga.
 
Ndugu una mazuri na una mabaya yako kama ifuatavyo

Mazuri
1.Moyo wa kusaidia,Unaweza nisaidia mdogo mtu hata akiwa mbali na hapo kwenu,Mwambie mkeo avumilie mdogo wake ajifunze,Nunua cherehani msafirishe mdogo mtu arudi kwao akapambane na Maisha pia

2.Umetafakari kuhusu kama hampendi mdogo wake je ndugu zako itakuwaje? Uko sahihi

Mabaya

1.Uko kinyume na mkeo

2.Unashindwa kudhibiti hisia zako mpaka kupolana lines.

3.Wivu

4. Huna faragha, anza kuondoka kisha

5.Mkeo hana shughuli ya kufanya unapambana na mdogo mtu,Weka nguvu kwa mkeo msaidiane kuinua familia.
 
Ndugu una mazuri na una mabaya yako kama ifuatavyo

Mazuri
1.Moyo wa kusaidia,Unaweza nisaidia mdogo mtu hata akiwa mbali na hapo kwenu,Mwambie mkeo avumilie mdogo wake ajifunze,Nunua cherehani msafirishe mdogo mtu arudi kwao akapambane na Maisha pia

2.Umetafakari kuhusu kama hampendi mdogo wake je ndugu zako itakuwaje? Uko sahihi

Mabaya

1.Uko kinyume na mkeo

2.Unashindwa kudhibiti hisia zako mpaka kupolana lines.

3.Wivu

4. Huna faragha, anza kuondoka kisha

5.Mkeo hana shughuli ya kufanya unapambana na mdogo mtu,Weka nguvu kwa mkeo msaidiane kuinua familia.
Kila kitu kina mabaya na mazuri. Yatakayokuwa mengi na yenye athari mbaya ndo huamua kama kitu hicho ni kibaya au kizuri. Kwa hili, analolifanya bwana Choosen85 ni baya maana mabaya ni mengi na mabaya hayo yana athari kubwa
 
Back
Top Bottom