Anataka mchukua mwanangu kinyemela

Niliye naye kwenye mahusiano naye ana mtoto mmoja alozaa na mwanamke mwingine.So naweka jitahada kuandaa future ya mwanangu kwani maisha saivi yako magumu,kama unataka mtoto apate malezi bora pamoja na elimu nzuri lazima kujipanga.
 
Anayelia hapo ni mama au baba aliyemtekeza mtoto. Acha ujinga we kuku!
Sina tatizo na mtoa mada, naongea na we ajuza unae quote quote tu mambo usiyoelewa.
 
Tatizo unapanic. All the best
 
Hakuna kitu kinachoshindikana.
 
Kaa uelewane na mwenzio. Pia elewa unaweza mzuia sasa huyo mtoto baadae akamfuata baba yake. Kila mtoto anapenda kumuona baba na mama yake.Usimkatalie jamaa ila mueleze nini atekeleze ili machungu ya kumlea mtoto peke yako yapungue.
Sina ugomvi naye,nachopinga ni kuchukua mtoto wa under 5years,akalelewe bila malezi ya mama yake,ilhali sijashindwa kumlea.sasa hata kazi nafanya ili iweje?ninunue mawigi na mavazi ama?i work for my boy.
 
Exactly my point
Waweza mkabidh mtu mtoto halafu baada ya muda ukipata nafasi ya kumwona unaishia mwaga chozi.
 
Sawa hatujui na ndio sababu,tunabeba mimba miezi 9,tunazaa kwa uchungu then tunakubali kulea mtoto hata kina baba mkijiweka pembeni.Tunajikana na kubeba msalaba wetu,hatukimbii jukumu la malezi kwani mtu mzima ni kuwajibika kwa maamuzi uliyofanya.
Pole ndugu.Tena ningekuwa mimi ndo amekimbia toka mimba wallah! Hata jina nisingemwita la baba ake bora niongeze ukoo wa baba yngu.
 
Hawezi mtorosha kwangu kuna ulinzi na watu wa kutosha.Ndio nimemweleza azae tu mwingine kwa mwanamke mwingne.
 
Kwendraaaaaaa! Ukute wewe ndo umetelekeza unakuja kujishaua hapa.
Mtoto hupewi ng'o!
Mimi ni ajuza ndio umri umeenda sana lazima niwashauri wadogo zangu.
Mwanaume toa hoja za maana!
Nimetelekeza wengi sana, inawezekana hata huyo unaelea mi ndio baba nimekuachia ulee maana hatujuani humu
 
Yani huyo usithubutu kumpa mtoto kabisa coz hutomuona tena, amekumbuka shuka kumekucha, ulifanya kosa kuendelea kumu entertain, kama uliamua kuendelea na maisha yako, hukuwa na sababu ya kuendeleza na mawasiliano naye.
Je ungetoa mimba? angekuwa anakubembelezea nini sasa hivi?
 
Hata hivyo Dada una roho ya kibinadamu sana. Kama alitelekeza mimba basi alinikana mimba sio yake hivyo sioni haja ya kumpa mtoto asie na uchungu nae mn atamlea kimazoea.
Hata mahakamani unaweza kumkatalia kuwa sie mwanae kwaani kama mwanae angemlea.

Na usikute hata jina la mtoto ulichagua pekee yako
 
Atammiss je wakati alimkimbia, mwambie hata mawasiliano na wewe sitaki, achana nae kabisa. Huyo si binadamu .
 
Hii thread ni kama kikao cha masingo maza,

Sio kwa mapovu hayo[emoji1]
 
Kwendraaaaaaa! Ukute wewe ndo umetelekeza unakuja kujishaua hapa.
Mtoto hupewi ng'o!
Mimi ni ajuza ndio umri umeenda sana lazima niwashauri wadogo zangu.
Mwanaume toa hoja za maana!
Hahaha umenifurahisha
 
Alivyo mtelekeza mtoto hakuwa mbinafsi? Au alikuwa sahihi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…