mandingo6262
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 424
- 82
Hahaha, kaka usije ukawa unatuomba ushauri na kumbe ushafanya maamuzi na kudumbukia topeni!!!!!!!!!!!
Kama haujadumbukia basi its better ukajitoa kwanza tangu mjuane ni miezi saba wewe ushafika na unaona anafaa kuwa mke jipange aisee mtafute @: bujibuji akupe somo jinsi ya kumpata mke mwema.
Kama haujadumbukia basi its better ukajitoa kwanza tangu mjuane ni miezi saba wewe ushafika na unaona anafaa kuwa mke jipange aisee mtafute @: bujibuji akupe somo jinsi ya kumpata mke mwema.