Mh mtu mfupi hata akiwa amekaa...lazima utajua tu.hawakumeet online...
tulikua tumeenda shop kununua vifaa flani hivi and the guy alikua hapo pia ndo wakabadilishana namba.
sema the guy alikua upande mwingne amekaa,so i guess hakumuona vizuri(hata me sikuweza kunotice pia)
Ana kibamia?Nina huyu cuzo wangu ana bwanake,the guy ana kazi nzuri tu,kapole,he is a gentleman,anampenda sana my cuzo like sana yani and all that(kwa mimi navomuona).
The problem ni kwamba cuzo angu anataka kuachana nae kisa the guy ni mfupi kuliko yeye.
Back then walikua wanapenda sana tu,my cuzo alikua haishi kumuongelea huyo bwana. Hapo the guy alkua mkoa mwingine kikazi.
I started noticing changes the guy alipokuja dzm,first time cuzo akaomba twende ote,basi tukameet...tuka have fun hivo...
Second time tena tumeenda kwa the guy anapoishi kumuona alikua anaumwa...
Sasa tumerud home my cuzo ananiambia eti anataka abreak up nae....kumuuliza why,anasema amejipimisha nae the guy ni mfupi kuliko yeye na familia yao nzima ndo wako hivo so hajisikii poa kumpita mwanaume urefu.
Me nikamwambia kama u love the guy kimo si chochote unless otherwise una mengine,akasema hana kingine zaid ya ufupi and she feels uncomfortable kua nae kwasaabu hiyo.
I pity the guy coz yani ni kapole,kahandsome tu sema ndo hivo kafupi kidogo plus tumeshakula hela zake kibao mpaka i feel guilty.
Basi the guy hua ananiuliza kama my cuzo truly loves him,kama pia humuongelea nikiwa nae...basi me naishia kumpa moyo tu.
nauliza jamani is this right???
wasichana mliowapita wanaume zenu urefu kwani mnapata shida yoyote?
wanaume mliopitwa urefu na wachumba zenu imekaaje hii???
Kwanini sasa huyo jamaa nayeye aliamua kuwa mfupi?hawajawahi duu so far

Aaah! acha hizo bhana...sio adabu..and me simfeel...namuheshimu
Hii story yako ndio ina justify ule usemi wa kwamba huwezi mridhisha mwanamke daima.Nina huyu cuzo wangu ana bwanake,the guy ana kazi nzuri tu,kapole,he is a gentleman,anampenda sana my cuzo like sana yani and all that(kwa mimi navomuona).
The problem ni kwamba cuzo angu anataka kuachana nae kisa the guy ni mfupi kuliko yeye.
Back then walikua wanapenda sana tu,my cuzo alikua haishi kumuongelea huyo bwana. Hapo the guy alkua mkoa mwingine kikazi.
I started noticing changes the guy alipokuja dzm,first time cuzo akaomba twende ote,basi tukameet...tuka have fun hivo...
Second time tena tumeenda kwa the guy anapoishi kumuona alikua anaumwa...
Sasa tumerud home my cuzo ananiambia eti anataka abreak up nae....kumuuliza why,anasema amejipimisha nae the guy ni mfupi kuliko yeye na familia yao nzima ndo wako hivo so hajisikii poa kumpita mwanaume urefu.
Me nikamwambia kama u love the guy kimo si chochote unless otherwise una mengine,akasema hana kingine zaid ya ufupi and she feels uncomfortable kua nae kwasaabu hiyo.
I pity the guy coz yani ni kapole,kahandsome tu sema ndo hivo kafupi kidogo plus tumeshakula hela zake kibao mpaka i feel guilty.
Basi the guy hua ananiuliza kama my cuzo truly loves him,kama pia humuongelea nikiwa nae...basi me naishia kumpa moyo tu.
nauliza jamani is this right???
wasichana mliowapita wanaume zenu urefu kwani mnapata shida yoyote?
wanaume mliopitwa urefu na wachumba zenu imekaaje hii???
mkuu hata kama genetics ni za urefu...Namsikitikia sana huyo dada ...angalia karma itakavyomtafuna...amuache mkaka wa watu na anampenda kwa dhati ataumia,
Huyo dada ataenda kutafuta wa saizi yake kwa kimo, karma itakataa, wanaume wote watakaokuja watakua wafupi, ama anaaeza kupata mrefu, ama wa saiz yake kwa urefu, lakin wakazaa mtoto ambae atakua mfupi na watoto wao watakataliwa hivo hivo ...lakin yote ni maumivu ya kijana aliekupenda kwa dhati ukamuacha sababu ya ufupi ambao.ni uumbaji wa Mungu na Mungu alivomaliza uumbaji aliona kitu ni kizuri machoni pake kwaio pamoja na ufupi wake lakin ana uzuri wake
Vitu vingine tunajitafutia shida wenyewe.
tall black...eeeeh...nahisi na mm nimo...Tall and Dark men.. are on high mandate, watakusumbua..LOL!
Tena huyu andunje akitemwa, apige magoti kumshukuru Mungu.
-nothing Good gets away
nadhani hii ni habari njema kwa Heaven Senttall black...eeeeh...nahisi na mm nimo...
Hata kama mkuumkuu hata kama genetics ni za urefu...
Aaah wapo wengi tu mbona. So far hiyo sifa ni "bonus tu", if you know woramsayinnadhani hii ni habari njema kwa Heaven Sent
