Naombeni ushauri wenu....
Naishi na mwanaume kabla sijawahi nae nilikua nina kipharmacy kidogo ambalo lipo mpaka leo ila tofauti ni kwamba tulipoamua kuishi pamoja nilimfata mkoa mwingine ambapo sio mbali sana na duka lilipo hivyo nikalizimika kuweka mtu wa kuniuzia ambapo hua naenda kumkagua mara kwa mara
Mwenzangu ameajiliwa serikarini anapokea hela nzuri nadhan mara 2 au 3 ya kipato changu jamaa jana nashangaa gafla tu anataka tupige hesabu ya mapato ya duka langu naingiza ngapi faida kwa mwezi mi sikukataa ila nikamwambia tukimaliza kupiga kwangu tuje na kwenye mshahara
Nimemwambia hivyo sababu hajawai kuniambia mshahara wake wala matumizi ya mshahara wake sijui akitoa hela ya matumizi basi na mara kwa mara anatuma hela kwao bt sijawahi kumuumiza chochote sasa nilivyomwambia tupige hesabu dukani na mshahara kanuna tangu Jana hana raha na mimi ananisemesha penye ulazima tu
Je nimekosea kumwambia hivyo?? maana kama matumizi natoa maana tuliwekeana kila mwezi tuna ac ya familia ye anaweka laki 4 mi naweka 2 kwa ajiri ya matumizi ya badae bado nikiona vyombo vizuri, mapazia, shuka yan vitu vidogo vidogo na nunua mbali na hela niliyosave tangu kanioa nguo najinunulia tu mwenyewe sasa nimekosea wapi ndugu zanguni?
Naishi na mwanaume kabla sijawahi nae nilikua nina kipharmacy kidogo ambalo lipo mpaka leo ila tofauti ni kwamba tulipoamua kuishi pamoja nilimfata mkoa mwingine ambapo sio mbali sana na duka lilipo hivyo nikalizimika kuweka mtu wa kuniuzia ambapo hua naenda kumkagua mara kwa mara
Mwenzangu ameajiliwa serikarini anapokea hela nzuri nadhan mara 2 au 3 ya kipato changu jamaa jana nashangaa gafla tu anataka tupige hesabu ya mapato ya duka langu naingiza ngapi faida kwa mwezi mi sikukataa ila nikamwambia tukimaliza kupiga kwangu tuje na kwenye mshahara
Nimemwambia hivyo sababu hajawai kuniambia mshahara wake wala matumizi ya mshahara wake sijui akitoa hela ya matumizi basi na mara kwa mara anatuma hela kwao bt sijawahi kumuumiza chochote sasa nilivyomwambia tupige hesabu dukani na mshahara kanuna tangu Jana hana raha na mimi ananisemesha penye ulazima tu
Je nimekosea kumwambia hivyo?? maana kama matumizi natoa maana tuliwekeana kila mwezi tuna ac ya familia ye anaweka laki 4 mi naweka 2 kwa ajiri ya matumizi ya badae bado nikiona vyombo vizuri, mapazia, shuka yan vitu vidogo vidogo na nunua mbali na hela niliyosave tangu kanioa nguo najinunulia tu mwenyewe sasa nimekosea wapi ndugu zanguni?