Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 773
- 1,707
Habari wana BUU, kwenye harakati za kujikomboa kiuchumi mwenzenu nimepata idea yakufungua biashara ya kununua na kuuza vyuma chakavu.
Natamani kujua;
*Faida yake iko vipi?
*Hasara ipo angle ipi?
*ghalama za leseni?
*vifaa gani ni muhimu kua navyo.
Mtaji nilopanga kuinvest ni 3M tu.
Naomba ushauri au maoni yenu wadau hasa wanaofanya biashara hii ama kuijua.
Ahsanteni.
Natamani kujua;
*Faida yake iko vipi?
*Hasara ipo angle ipi?
*ghalama za leseni?
*vifaa gani ni muhimu kua navyo.
Mtaji nilopanga kuinvest ni 3M tu.
Naomba ushauri au maoni yenu wadau hasa wanaofanya biashara hii ama kuijua.
Ahsanteni.