synonym II
JF-Expert Member
- Nov 25, 2024
- 276
- 312
Tsk, a condom would have prevented this post 🚮
haya wa mwanzo kuuza uchi kigamboni miaka Ile.Inaonekana hizo ndio kazi wanazofanya wazazi wako, ukiachilia mama yako kuuza nyapu.... kaza sana dogo, alafu punguza kuleta mazoea kwenye post za wanaume, utaliwa jicho
We fri masoniMwana Wa Adamu
We fri masoni
Usaliti Utaishaga liniKwahiyo kusalitiwa kwa diamond ndio kuna set standard ya kwamba kila mwanaume lazima asalitiwe?
Huko kuwa na insecurity
Shida haziiishi duniani angalau tunaweza kujifunza namna ya kuishi nazoHIVI SOLUTION YA HII SHIDA NI NINI
HahahaIla pdidy, mxyuuuu shenzi sana 🤨
Anza kujiuliza na wewe utaacha liniUsaliti Utaishaga lini
Pepo la Yuda Iskariote linasumbua
AiseeShida haziiishi duniani angalau tunaweza kujifunza namna ya kuishi nazo
🤔Anza kujiuliza na wewe utaacha lini
Charity begins at home
Hivi maskini hawagongewi na kuchapiwa? Ila inahizunisha wee tajiri lakini demu wako anagongwa bure Kwa saund Tu Halafu anampa hela anayemgonga Tena hela zako maamae.Ulicho shindwa kuelewa ni kuwa, ukishakuwa maarufu na ukawa na pesa ndo rahisi kuchapiwa zaidi.
Anyway hii case kimtindo ni ya wote, tofauti ni risk tu ya kuchapiwa.
Unaonekana tuShindwa pepo
🤣Hapo chini kwenye video Diamond Platnumz anazungumza namna alivyosalitiwa na mpenzi wake aliyekuwa nae akitoka kimapenzi pia na Waziri wa Nishati wa kipindi icho, mpenzi anayehisiwa kumsaliti Diamond Platnumz hapo inasemekana ni Wema Sepetu.
Hata hivyo pia kuna tetesi ziliwai kusema kuwa Mama wa watoto wa Diamond Platnumz anayefahamika kama Zari aliwahi kumchiti Diamond Platnumz na mmoja wa wasanii wa kundi la Psquare.
Licha ya Diamond Platnumz kuwa maarufu na kupata viji pesa lakini aliweza kupigwa matukio na wapenzi wake, wewe ni nani uisalitiwe au husigongewe. Muda mwingine unagongewa lakini ni ngumu kujua kuwa mpenzi wako kapigwa nyama na mtu mwingine. Cha msingi tu ukiona umesalitiwa na uwezi kuvumilia basi achana nae hata kama unampenda sana, maana wengine ndio tabia zao kuchiti au hawezi kukaa na mtu mmoja hivyo lazima akitembeze.