miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Dar kuna mata.ko bar kumbe?
Ipo wapi?
Saa ngapi?
Will be zea...
Kino....ingawa nasikia nyingine ipo temeke kama sijakosea.
Kijua kipungue
Dar kuna mata.ko bar kumbe?
Ipo wapi?
Saa ngapi?
Will be zea...
Haahah...alafu weweeee...kumbe upo...sawa tu...dah...long time ago wakati bado niko mjinga
Kino....ingawa nasikia nyingine ipo temeke kama sijakosea.
Kijua kipungue
Hakika sijaona kitu.
Huwa tunatoa tu hatupokei.....hivi kwenye kabila lenu mahari wanapokea kiasi gani?
Huwa tunatoa tu hatupokei.....
Hilo ni tatizo.....me nilitofautiana na mpenz wangu mwezi wa 12mwaka jana,Sio kama ilikuwa ugomv kivile but wivu tu katika mahusiano na vitu kama hvyo.
Lakini tukarekebisha na mambo yakaendelea...ilipofika mwaka huu mwezi wa 4 tukakwaruzana tena kwa kosa linalofanania na lile.Hapo nikaonesha msimamo its over though nampenda.
Akajaribu kunipliz nikarudisha moyo kiasi fulan lakin bado nilikuwa nafundo na mawasiliano yakafifia.
Huwezi amin jana nimeingia insta page yake nimekuta picha amefunga ndoa tar 27/9 mwaka huu.
Ikumbukwe katika mikwaruzano yetu sijawahi kuhisi wala yy kunionesha kuwa ana mwanamke.
mmmmmmhhhhhhh.....!!!!
etiiiiiii!!!!
pole sana mine
Asante mpenzi.....imetokea but wala sijayumbishwa.Cha muhimu afya njema basi na uhai
Tatizo sio miboo ila watu wanafikiria mengi muda,mazoea na kuanza upya mahusiano na mtu mwingine yaan kazi.
Umefika 100 then u turn to zero....kaz hapo
Huwa tunatoa tu hatupokei.....
umeona eeeh mazoea ndo yanaumiza sana ukifikiria roho inauma sana pole mwaya
Kuachwa kuskie kwa jirani