Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Ongea na mimi fasta. Kwa kawaida huwa nalionja kwanza ili nijue thamani yake kabla sijakukabidhi.Hahahahahaahahah
Kunauwa nimeona limechanua kwako..nahitaji kulichuma
Ongea na mimi fasta. Kwa kawaida huwa nalionja kwanza ili nijue thamani yake kabla sijakukabidhi.Hahahahahaahahah
Kunauwa nimeona limechanua kwako..nahitaji kulichuma
Ongea na mimi fasta. Kwa kawaida huwa nalionja kwanza ili nijue thamani yake kabla sijakukabidhi.
Kuachwa kuachwa!! Kuachwa ni shughuli pevuu!! aaa mbaya zaidi kwa yule unayempenda wewe unakonda yeye ananenepa kwa mawazo oo kwa mawazo oo♡♥
Ongea na mimi fasta. Kwa kawaida huwa nalionja kwanza ili nijue thamani yake kabla sijakukabidhi.
Akipona apelekwe Al shabab au boko halam, kazi anaiweza.
Hahaha..wewe mbona unamrusha roho hivo
unataka kuniambia............
we dokta nini? mbona unang'ang'ania tena kutibu kisukari na presha? ujana wake alikula na nani, uzee aje akususie wewe??
Pole sana
Ni kweli my dear......huwezi amini jinsi nilivyo na amani moyoni.Nimemsahau within a minute.