Anapumulia oxygen hospitali baada ya kuachwa

Anapumulia oxygen hospitali baada ya kuachwa

Jamani pole miss strong nna rafiki yangu alikuwa na mahusiano na huyo mwanaume wanakaa mpaka usiku, wanasafiri wote kijana haoneshi dalili yoyote kuwa ana mtu pembeni siku ya siku sijui hata ilikuwaje akaingia facebook anakuta picha za harusi za yule kaka.mhh! kamuoa auditor na bibi harusi ndiye aligharamia nusu ya harusi yao kwa mujibu wa habari za kitaa
Sasa ndio ushangae mwanaume unakuwa nae masaa mengi zaidi ya mke halisi hata hashtuki Mungu atusaidie tuu kwakweli

na atusaidie kwa kweli
 
Ni ngumu sana.....lakini nipo tofauti sana huwezi amini kipind cha mikwaruzano nilijianda kipyschology sana na imenisaidia.

Imeniumiza jana but nimeamka na tumaini jipya
Safi sana nkamu gwangu songambele
 
aisee ukiwa na mwanaume ni sawa na kuwa na bidhaa ya kichana mda wowote inakufa..... au kama umebahatika ukapata nzuri itadumu...

Ya kichina kwangu ila kwa mwingine mashine ya Germany.Haipasuki hata ikanyagwe na treni.

Ha ha ha kila mtu na mtue....huyo mwanaume kasababisha huyo bint ajiue lakin na yy akipata mbabe wake atatamani atumbukie chooni.
 
We ushaona mtu analalamika tu na hajatendwa,baadaye anajikata kivyake,ndo itakayokutokea!

Aisee..nshakutana na watu kama wew...waliexpect hicho kitokee..sikumbuki ata mara ya mwisho nililalama lin...anyway ngoja niishie hapa
 
Aisee
watu wanajua kupenda sana hata mwanamke nitakayemuoa sitompenda kihivyo ila nitamzoea
 
Ni ngumu sana.....lakini nipo tofauti sana huwezi amini kipind cha mikwaruzano nilijianda kipyschology sana na imenisaidia.

Imeniumiza jana but nimeamka na tumaini jipya

Hapo umenena.,.ukishajiandaa pschologically hayo mengine yakija yatakuyumbisha but hayawez kukuangusha kamwe
 
cc Passion Lady, Angelicious miss neddy

wake zangu wapendwa sana hawa!

Bahati mbaya tu ndo hivyo...

love.png


Hebu wekeni expiriensi zenyu hapa baada ya muachano!!

Mume wenu X bado anawakumbuka mno!
 
Last edited by a moderator:
Ya kichina kwangu ila kwa mwingine mashine ya Germany.Haipasuki hata ikanyagwe na treni.

Ha ha ha kila mtu na mtue....huyo mwanaume kasababisha huyo bint ajiue lakin na yy akipata mbabe wake atatamani atumbukie chooni.
kweli kabisa kila shetani na mbuyu wake atapata shetwaini wake
 
Hilo ni tatizo.....me nilitofautiana na mpenz wangu mwezi wa 12mwaka jana,Sio kama ilikuwa ugomv kivile but wivu tu katika mahusiano na vitu kama hvyo.

Lakini tukarekebisha na mambo yakaendelea...ilipofika mwaka huu mwezi wa 4 tukakwaruzana tena kwa kosa linalofanania na lile.Hapo nikaonesha msimamo its over though nampenda.

Akajaribu kunipliz nikarudisha moyo kiasi fulan lakin bado nilikuwa nafundo na mawasiliano yakafifia.

Huwezi amin jana nimeingia insta page yake nimekuta picha amefunga ndoa tar 27/9 mwaka huu.

Ikumbukwe katika mikwaruzano yetu sijawahi kuhisi wala yy kunionesha kuwa ana mwanamke.
Dah! Pole.....

Huwa nawashangaa sana wanaume wasiokuwa na gut ya kusema ukweli especially kwa vitu kama hivi.
 
Kuachwa kuachwa!! Kuachwa ni shughuli pevuu!! aaa mbaya zaidi kwa yule unayempenda wewe unakonda yeye ananenepa kwa mawazo oo kwa mawazo oo♡♥

Inafikia wakat ht watu wako wa karibu wanaokushauri mazuri kuhusu ww na mpenzi wako...unawaona wabaya unawaona hawafaiii

Hahahaa haaaa
 
Hahaaa pole yake...

Ila kujiua ni maamuzi magumu na yenyewe

Kwani we nikikuacha hutajiuwa..?? Maana kuna wakati yale masakasi ya mgegedo ndo yanapelekeaga kuona kujiuwa ni maamuzi mepesi sana...

Usikute kauli hiyo iliendana na kunyang'anywa VOGUE... Chezeiya
 
Hilo ni tatizo.....me nilitofautiana na mpenz wangu mwezi wa 12mwaka jana,Sio kama ilikuwa ugomv kivile but wivu tu katika mahusiano na vitu kama hvyo.

Lakini tukarekebisha na mambo yakaendelea...ilipofika mwaka huu mwezi wa 4 tukakwaruzana tena kwa kosa linalofanania na lile.Hapo nikaonesha msimamo its over though nampenda.

Akajaribu kunipliz nikarudisha moyo kiasi fulan lakin bado nilikuwa nafundo na mawasiliano yakafifia.

Huwezi amin jana nimeingia insta page yake nimekuta picha amefunga ndoa tar 27/9 mwaka huu.

Ikumbukwe katika mikwaruzano yetu sijawahi kuhisi wala yy kunionesha kuwa ana mwanamke.

Heeee
Makubwa!
Kwahyo alikuwa anapima upepo!!

Bora ulimpotezea
 
Back
Top Bottom