Anapumulia oxygen hospitali baada ya kuachwa

Anapumulia oxygen hospitali baada ya kuachwa

munimuni

Senior Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
110
Reaction score
69
Dada alikutwa chumbani kwake usiku wa kuamkia juzi akiwa amejidima kipande cha chupa ubavuni baada ya aliyekuwa mpenzi wake kumwambia yeye ni mchepuko.

Jamaa kumbe alikuwa na mke na watoto, wanaume kuweni wa kweli basi.
 
Kuachwa kuachwa!! Kuachwa ni shughuli pevuu!! aaa mbaya zaidi kwa yule unayempenda wewe unakonda yeye ananenepa kwa mawazo oo kwa mawazo oo♡♥

Kwa mawazooo kwa mawazo......!!
 
Lol!,..Asante kwa somo, uongo mbaya nini kama ugali?!, next time mtu akileta ungese first thing I'll think about is ugali before making deadly decisions :angry:


Siyo rahisi kama unavosema. Its more than ugali, akili yote hutekwa!
 
Tatizo wanawake wengi wanaona kama wanaume ndio wasaliti na waongo sana, lakini kiukweli wanawake wanaongoza, tena mtu anakufanyia unafki na kujifanya anakupenda sana lakini wapi! Lawama ziende kote, kila mtu awe mwaminifu kwa mwenziye.
 
Kuachwa ndo nife??......wakati kuna watu wananihitaji,roho ya subira ndo nguzo yangu.

Umeonaeeee!

Ya nini kumpa mtu kichwa ajione kama ndio mwanaume peke yake in this world. Cha muhimu subira tu na siku zote subira yavuta kheri.
 
Back
Top Bottom